Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,895
Habari za jumapili!
Kama kichwa kinavyojieleza. Nimegundua kuwa huwezi kukuta mtu aliyezaliwa au kuishi Dar es salaam Kwa zaidi ya miaka 20 ukamkuta kwenye haya makanisa ya Upako.
Au huwezi kumkuta mtu aliyewahi kuishi nje ya nchi, nazungumzia nchi za Ulaya, Amerika au Asia. Na kidogo South Afrika. Huwezi kuwakuta kwenye haya Makanisa ya upako.
Kama utafuatilia utagundua asilimia 90 ya wanaoenda kwenye haya makanisa ni sisi wa mikoani, Watu wakuja.
Hii inamanisha nini hasa. Je ni upi uhusiano wa Makanisa ya Upako na sisi Watu wa Mikoani?
Mwenye majibu tafadhali.
Kama kichwa kinavyojieleza. Nimegundua kuwa huwezi kukuta mtu aliyezaliwa au kuishi Dar es salaam Kwa zaidi ya miaka 20 ukamkuta kwenye haya makanisa ya Upako.
Au huwezi kumkuta mtu aliyewahi kuishi nje ya nchi, nazungumzia nchi za Ulaya, Amerika au Asia. Na kidogo South Afrika. Huwezi kuwakuta kwenye haya Makanisa ya upako.
Kama utafuatilia utagundua asilimia 90 ya wanaoenda kwenye haya makanisa ni sisi wa mikoani, Watu wakuja.
Hii inamanisha nini hasa. Je ni upi uhusiano wa Makanisa ya Upako na sisi Watu wa Mikoani?
Mwenye majibu tafadhali.