Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,681
- 21,540
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Arusha hamna kitu ..wanavuta bangi zinawapelekea kwenye uchoko....nadhani kwa sasaivi arusha ndio inaongoza kwa uchoko east africa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Arusha hamna kitu ..wanavuta bangi zinawapelekea kwenye uchoko....nadhani kwa sasaivi arusha ndio inaongoza kwa uchoko east africa
Arusha kuna yule jamaa anajiita
Kigamboni kuna miamba yake kule msala aliebakia ni AFANDE KHAMIS kaua wengi sana masela akikukamata ni one man anakupeleka unasalimia masikani zote anakumaliza uyo dogo alikuwa anapotea mapema sana tuMboni Rizi One wa Mbagala Kata ya Kibondemaji anawapigusha chafya au Mbagala ipo wilaya gani sio kigamboni?
Au chuma kabisa sikuizi kumepoa ila ndiyo lilikuwa eneo hatari sana jifanye mjanja umuone tozy umvage kumbe COMMANDO MARRINE FORCE utajuta kuna muhuni alikavagaa kashikaji kembamba na ndevu alijuta kumbe ka commando bhana anakaonaga LONGONI tu anajua kasimamia pool table alijutaNa kigamboni huko nyie hampigi
Nyie huko mkikamata mnamchekecha
Mwili mzima mkimaliza mna mpa maji
Mnamwambia nenda
Lazima akafie mbeli
Ova
Ndiyo mtaa wake alikuwa anapigwa na DangoteArusha kuna yule jamaa anajiita
Fido vato jamaa akiongea
Ana mikwala sana
Ova
Sio wakabaji hata wezi madukani. Siku hiz mtu akiingia kwenye duka amevaa juba unakua naye makiniWakabaji wengi wanapenda kuvaa hijab
Ova
Huyo wasengemuuwa,wange mtoboa macho yote mawili kama yule Kibaka wa Kigamboni zamani,siku hizi kawa ombaomba kwenye Pantoni na fimbo.yake ya upofu!!Ajabu ni kwamba hata police eti walikuwa wanamsaka
Kumbe yule omba omba alikuwa kibaka?Huyo wasengemuuwa,wange mtoboa macho yote mawili kama yule Kibaka wa Kigamboni zamani,siku hizi kawa ombaomba kwenye Pantoni na fimbo.yake ya upofu!!
Kulwa alifariki ila dotto yupo alibadilika na kuacha mambo hayo baada kukaa butimba muda mrefu.Hujasema hao Kulwa na Dotto waliishia wapi?
Me sio mtu wa arusha mkuu ila nachokiongelea hapa ni kwamba msiwaone hao watu wote ni wajinga, mtu akishakua na roho kuweza kuuwa mtu basi sio mtu wa kawaida.Umeandika sana lkn ukweli lazima usemwe,watu wa chuga mmefeli.Haiwezekani kitoto cha miaka 19 kisumbue hivyo,sasa mabhangi mnayovuta ni ya Kazi gani?,Na tunawashangaa kwasababu Arusha mnajiitaga Wajanja.Full kuvaa mishati mirefu na viatu vya ajabu lkn mmechuchumaishwa na dogo Dangote.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app