Kuna watu wana hela jamani!!

Ndugu yangu hawezi kuwa na maisha hayo akose solar au standby generator. Gari kukwama katika matope ni hadithi za abunuasi kwani wana barabara yao peke yao? Kulipa umeme laki 4 ni kawaida kama unatumia let say washing machines etc. kuwa na mamaids inategemea na kazi hapo nyumbani ingawa karaha ya kuwa na maids zaidi ya mmoja nyumbani ni karaha hujapata Ona. Lakini hiyo isikusutue wengine wana hela chafu ndo tunaowasikia kisutu kila mara
 
hayo maswali nimejiuliza mimi kabla ya wewe...ila swali langu la kwanza nili muuliza dada alokua ananisimulia KWANINI WAMEPANGALILE GHOROFA WAMEPANGA NA WALA SIO LAO...HELA walizonazo wana uwezo wakununua nyumba kali na ikawa YAO ila Mshua yule KAPANGA na haoni shida...kodi analipa na haimsumbui kichwa.

Huko kwenye solar Generator ni mbali sana Tuanzie tu na hapo anapokaaa kwanini APANGE?
 
Hiyo bei ni very cheap, hebu fikiria wageni 15 kutoka nje ya nchi mfano watalii au watu wanahudhuria mkutano maalum wa kimataifa, wakifikia hapo kila mmoja atatoa 20,000/= kwa siku, kama wakiwa 20 kila mmoja atatoa 15,000/= kitu ambacho ni cheap sana. Usifikirie kupanga kwa mwezi, ndo maana dalali kasema malipo ni kwa siku
 
Kwa mtu mwenye nazo ni bora kupanga kuliko kuwa na nyumba yako. Ni pasua kichwa sana, inaweza kuwa ni rahisi kupanga kuliko kumiliki nyumba yako! Nilikuwa natafakari mfano waziri mwanamama mwenye mtoto mdogo kama angela kairuki, je ana wadada wa kazi minimum wangapi ili na majukumu yake ya kiuwaziri yaende. Si chini ya 3. Mmoja kwa ajili ya kichanga, mwingine kupika na kufanya usafi. Kikubwa tujitahidi kuzitafuta pesa wakati Tukibana matumizi ili siku za usoni tuondokane na janga hili la umaskini uliokithiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…