Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
- Thread starter
- #21
Ndioapo ni Tz ?
Mbezi beach
Ndioapo ni Tz ?
Daah umenikumbusha hilo jina, nimelimiss.
aisee,Ndio
Mbezi beach
"Aparntment" iko vizuri. Tatizo ni hela tu kwa wengi wetu.
"Aparntment" iko vizuri. Tatizo ni hela tu kwa wengi wetu.
We unaishi wapiaisee,
mwananyamala ujijiWe unaishi wapi
Kuna watu wanaishi na wengine bora uhai
Mkuu usisahau kuwa kuna kodi, kuna matengenezo, matumizi ya kawaida utakuta hizo laki 3 kiuhalisia yeye anapata faida kama 30,000 kwa siku. Wengi waliojenga hizi nyumba wana mikopo usiombe. Mfano mzuri wanatakiwa kulipa City Service Levy ambayo ni 0.3% yake. OSHA, fire etcSawa tupo watu wa vipato tofauti levo tofauti
Lakini kama mlalahoi hiyo hela nkiifikiria nawaza sana..mil 54 si tayari nna nyumba mbezi now!
Inauma mkuu
ada semester hiyo mamaee.
Nishalifikiria hilo ila nikaona haina maana. Labda new name tenaTuma pm mode afanye U-turn
Mkuu usisahau kuwa kuna kodi, kuna matengenezo, matumizi ya kawaida utakuta hizo laki 3 kiuhalisia yeye anapata faida kama 30,000 kwa siku. Wengi waliojenga hizi nyumba wana mikopo usiombe. Mfano mzuri wanatakiwa kulipa City Service Levy ambayo ni 0.3% yake. OSHA, fire etc