win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,722
- 33,210
kweli tena sio utaniMshaanza sasa ππππππ
kweli tena sio utaniMshaanza sasa ππππππ
Hao wa baharini ndo wale wa pwani sio πππNani kakwambia wanakula hao wa mtaani, sea snails ndo habari ya mjini
Kuna kabila fulani wanakula ila siwez kuwatajaHii nimeona sasa hivi. Nimeona bora niseme mapema ila kuna watu wana roho ngumu aiseee
Unakuta bado kuna watu wanakula hii View attachment 3661157
Mara kumi ule kukiwa na giza hata usijue unachokula aisee ila live live unaweza ukatapika kabisa haya mavitu yanatisha sana.
Bora ubaki kumuona kwa nje tu ila akiwa hivi katoa gamba lake utakimbia aiseee.
Mpaka nimewaza sasa kutembea kwa maringo yote haya kumbe anatisha hivi. Mmmh
View attachment 3661158
Vishu Mtata unakulaga
Tupake ute wa kono kono kono sio πππππkweli tena sio utani
utanishukuru badae fanya hivyoTupake ute wa kono kono kono sio πππππ
Kuna siku watu watapigana humu πππππutanishukuru badae fanya hivyo
nitakua muamuzi waoKuna siku watu watapigana humu πππππ
wewe ni muoga sijapata ona unashangaa kula βΊοΈ konokonoHii nimeona sasa hivi. Nimeona bora niseme mapema ila kuna watu wana roho ngumu aiseee
Unakuta bado kuna watu wanakula hii View attachment 3661157
Mara kumi ule kukiwa na giza hata usijue unachokula aisee ila live live unaweza ukatapika kabisa haya mavitu yanatisha sana.
Bora ubaki kumuona kwa nje tu ila akiwa hivi katoa gamba lake utakimbia aiseee.
Mpaka nimewaza sasa kutembea kwa maringo yote haya kumbe anatisha hivi. Mmmh
View attachment 3661158
Vishu Mtata unakulaga
Hiyo ikipikwa ni kama filigisi.Hii nimeona sasa hivi. Nimeona bora niseme mapema ila kuna watu wana roho ngumu aiseee
Unakuta bado kuna watu wanakula hii View attachment 3661157
Mara kumi ule kukiwa na giza hata usijue unachokula aisee ila live live unaweza ukatapika kabisa haya mavitu yanatisha sana.
Bora ubaki kumuona kwa nje tu ila akiwa hivi katoa gamba lake utakimbia aiseee.
Mpaka nimewaza sasa kutembea kwa maringo yote haya kumbe anatisha hivi. Mmmh
View attachment 3661158
Vishu Mtata unakulaga
Sili binadamu na jamii zote za nyani ila vingine nakula vyote visivyo na sumu.Hii nimeona sasa hivi. Nimeona bora niseme mapema ila kuna watu wana roho ngumu aiseee
Unakuta bado kuna watu wanakula hii View attachment 3661157
Mara kumi ule kukiwa na giza hata usijue unachokula aisee ila live live unaweza ukatapika kabisa haya mavitu yanatisha sana.
Bora ubaki kumuona kwa nje tu ila akiwa hivi katoa gamba lake utakimbia aiseee.
Mpaka nimewaza sasa kutembea kwa maringo yote haya kumbe anatisha hivi. Mmmh
View attachment 3661158
Vishu Mtata unakulaga
ππππ unatisha mkuuSili binadamu na jamii zote za nyani ila vingine nakula vyote visivyo na sumu.