Kuna uwezekano Hayati Magufuli alikopa ili kulipa Mishahara? Dkt. Mpango afafanue Mikopo ya Trilioni 29 kwa miaka 5 ilifanya nini

Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Jibu kwa Takwimu sio propaganda. Tuko na inshu siliasi. ELIMU bila m alipo bajeti yake NI billion 130 kwa mwaka kwa miaka 5ni bilion 650. Flyover hazifikishi ata bilion 50. Hajaunda meli ata moja amekarabati tu zilizopo kwa pesa madafu. Nazani huijui tillion wewe. Tilion isikie tu.
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?


Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Jibu Kwa HESABU kama mwenzako alivyotiririsha HESABU ZAKE. JE hiyo miradi unayosema HESABU yake Ina fika trillion 29??? Fahamu trillion moja ni billion 1000
 
Kuna mambo umesema uongo, mradi wa maji kutoka Mwanza hadi Shinyanga ni kazi ya Benjamin Mkapa,Waziri wa kipindi kile alikua Edward Lowassa!

Maji yakutoka mwanza, shinyanga, kahama,nzega hadi igunga,bado hayajafika Singida!

Pia usidhani watu hawana takwimu,hakuna zahanati iliyojengwa kila kata!

Maji bado ni shida,jaribu kutembea watu wanatumia maji ya mtoni,wengine wanasubiri mvua inyeshe,halafu wachote yale yanatwaama barabarani!

Jikite Kwenye Mada
 
Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Elimu bila ada its easy and no changes sababu walimu ni wale wale wanalipwa mshahara ule ule hata kama elimu ingekuwa sio bure so hauhitaji kukopa trillions for that. Magu was not a good person dhurumati
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?


Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Thread za Magu za kumchafua zipo nyingi sana mmetumana!!?
ww ile miradi unadhani wamejenga kwa buttock zako!
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?


Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Duhh.... Hatari kwelikwelii. Em ngoja tuone.
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Umejibu kishabiki sana. Inaonekana huna uelewa wowote. Aheri ungekaa kimya.

Hivi vihospitali na vizahanati vilivyojengwa wakati wa Magufuli ni gharama ndogo sana.

Hospitali zote na zahanati zilizojengwa wakati wa Magufuli, ukizijumlisha pamoja, gharama yake ni ndogo kuliko gharama zilizotumika kujenga hospitali moja tu kubwa iliyojengwa wakati wa Kikwete, kama ile ya Taasisi ya moyo ya JK au Mloganzila.

Maji hayakuvutwa toka ziwa Victoria bali yaliunganishwa kutoka yalipoishia wakati wa Mkapa na Kikwete. Wakati wa Mkapa ndiyo maji yalivutwa toka Ziwa Victoria. Wakati wa Magufuli ni matank tu na mabomba. Na maji yenyewe yameenda mikoa miwili tu, kwa maeneo machache sana.

Madaraja unayoyaongelea, ungepitia takwimu, ni pesa kidogo sana. Ukiondoa daraja la Busisi, mengine yote, hakuna hata moja ambalo gharama ya ujenzi inafikia bilioni 100.

Masoko na stand ni pesa kidogo sana, hakuna hata moja ambayo gharama yake inafika bilioni 100. Fikiria kwa mikoa kama 20, ukisema kila mkoa uwe na stand ya bilioni 25 na soko bilioni 25, jumla ya gharama yote kwa nchi nzima haizidi trilioni 1. Na hayo ni makadirio ya juu maana ipo mikoa haina stand wala masoko mapya.
 
Thread za Magu za kumchafua zipo nyingi sana mmetumana!!?
ww ile miradi unadhani wamejenga kwa buttock zako!
Hapa hatuchafui Wala kusifu mtu. Hakutaka watu wamkosoe akiwa madarakani ndio maana tutahoji Sana Sasa. Alafu alilofanya Kazi nao wapo. Kama tulikosea lazima tujadili tujue tulikosea wapi tujirekebishe Kama taifa. Tusiposema Mama atarudia makosa yaleyale
 
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.

Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.

Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?


Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.

Dr Mpango Mikopo ya tilion 29 kwa miaka 5 ulikopa Wewe au JPM?​

Kama mlishirikiana sale Watanzania mchanganuavwa matumizi yake.​

Pili umeona mwenzio katangulia mbele Za haki, anasemwa vibaya Wewe na Samia waelezeni watanzania fedha ziliko pelekwa.
 
Magufuli anakaribia mwaka ssa ila bado watu wanateseka
Ngoja mwenye macho ya kurembua tuone je hali itakuaje?
Maaana hali ilivyo huku mtaaani wanatani hata angekuwepo leo ingekuwa afadhali tofauti na hali ilivyo ssa
 
Sasaivi tunauliza za Magufuli kwanza. Za Samia tunazojua NI 1.3. lazma tuanze kujifunza kuhoji.
Kulia lia na yaliyofanyika wakati wa Magufuli hakusaidii kitu, yeye alisema anafanya kurekebisha yaliyotendeka kabla yake.

Rekebisheni yaliyotendeka wakati wake pia, kama aliiba kama mnavyosema, si mmewashangalia kina CAG na mama, watumieni kuthibitisha madai yenu, dola ni yenu, pesa hizo zilizokwapuliwa, ni ngumu kiasi gani kurudishwa? Amezikwa nazo? Waliobaki ni untouchable? Dhamira ya kupiga kelele ni nini ilhali mamlaka yote mnayo?

Fanyeni kinachostahili na dhamira yenu ya dhati itajitanabaisha, sio mnakopea vibopa kwa gharama za wanyonge kisha kujificha kwenye jina la mtu mmoja.

Dunia inasema mama amekopa dola 2.29bn ndani ya miezi 8 tu NA amesha-WATOZO wadanganyika mara kadhaa kwa idadi isiyojulikana, amewaachia wahalifu vibopa wote, amesimamisha miradi na mingine kuiua, ajira za wa-znz ni 21% kwa bara na kwa wabara kwenda visiwani 0% n.k
 
Tumia akili kidogo basi.

Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?

Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?

Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.

Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?

Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .

Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.

Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
ukipiga hesabu na hivyo vitu ulivyovitaja haifiki trion 29
 
Back
Top Bottom