William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
- Thread starter
- #21
Jibu kwa Takwimu sio propaganda. Tuko na inshu siliasi. ELIMU bila m alipo bajeti yake NI billion 130 kwa mwaka kwa miaka 5ni bilion 650. Flyover hazifikishi ata bilion 50. Hajaunda meli ata moja amekarabati tu zilizopo kwa pesa madafu. Nazani huijui tillion wewe. Tilion isikie tu.Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!