Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
Mkuu Chief Mkwawaipod haiingii line unacheza tu games, kutumia apps na ku angalia na kusikiliza media. hivyo hutapiga simu wala kutuma msg za kawaida.
grand prime plus na j2 mpya nafkiri ni simu moja, nimeiona in real life haina tofauti na kina tecno, kioo kama kimemwagiwa maji ya mchele, plastic low quality la nje, perfomance mbovu etc.Mkuu Chief Mkwawa
Vp Hizi Simu Samsung Ambapo Baadhi Kwasasa Chip Zinazotumika Ni Mediatek
Kama Samsung Galaxy Grand Plus,Galaxy Emerge,Samsung J2 Za 2016
Kwenye Matumizi Ya Kawaida Tu Zikoje Na Ubora Wake Maana Kwasasa Simu Nyingi Ni LITE
Shukrani Sana Sana Kwa Ufafanuzi Murua Ambao Umenifumbua Macho Harakagrand prime plus na j2 mpya nafkiri ni simu moja, nimeiona in real life haina tofauti na kina tecno, kioo kama kimemwagiwa maji ya mchele, plastic low quality la nje, perfomance mbovu etc.
mkuu samsung inaitwa samsung sababu ya vitu vyake, unapoongelea samsung moja kwa moja unaanza kufikia vitu kama soc za exynos, display za super amoled, material ya nje ya polycarbonate (sasa hivi glass na alluminium) etc.
unapoona simu ya samsung haina element hata moja ya u samsung then haina maana ya kuimiliki mkuu.
angalau hata j3 ya 2016 yenye sd410 na kioo cha hd cha super amoled ni nzuri, nafkiri bei zake ni humo humo kama kina grand prime plus.
ipod haiingii line unacheza tu games, kutumia apps na ku angalia na kusikiliza media. hivyo hutapiga simu wala kutuma msg za kawaida.
huo ni umeme wa kawaida mkuu, hata port za laptop zinatoa kama huo, hivyo sidhani kama ni tatizo la umeme.Chief mkwawa kuna siku niliandika thread kuhusiana na TV yangu Samsung flat screen series 4 4000 inashindwa kupeleka moto wa kutosha kusoma ext HDD ukanishauri nidownload play store ampere charging, nikafanya hivyo lakini hakufika 500amh hii vp inaweza ikawa tatizo ni TV?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatupia ipod gani wwMkuu IPod nyingine zinaline na zinakubali line yeyote na Zina WI FI na unaweza kupiga na kupokea uki download App.Kama hii ninayo itumia.
wifi sawa, ila line ndo nakusikia wewe, nimegoogle hapa pia apple wanasema hazina sijui mkuu ya kwako umeitoa wapi.Mkuu IPod nyingine zinaline na zinakubali line yeyote na Zina WI FI na unaweza kupiga na kupokea uki download App.Kama hii ninayo itumia.
ipad na ipod ni vitu viwili tofauti, ipod ni ndogo kama iphone au inaweza ikawa ndogo zaidi ya iphone wakati ipad ni tablet, ni kubwa sana.iPad model A 1430 inaingia SIM card na Wi Fi japo Najua kuna new vision
Mkuu chukua like 200,000,000,000.ipad na ipod ni vitu viwili tofauti, ipod ni ndogo kama iphone au inaweza ikawa ndogo zaidi ya iphone wakati ipad ni tablet, ni kubwa sana.
Hiyo ni ipad siyo ipod, ipad ni tablet.iPad model A 1430 64 GB inaingia SIM card na Wi Fi japo Najua kuna new version
mwambie kuna earpods pia.Hiyo ni ipad siyo ipod, ipad ni tablet.
Apple wana iphone, ipod na ipad ni vitu tofauti
Umechanganya madesaiPad model A 1430 64 GB inaingia SIM card na Wi Fi japo Najua kuna new version
Mkuu.grand prime plus na j2 mpya nafkiri ni simu moja, nimeiona in real life haina tofauti na kina tecno, kioo kama kimemwagiwa maji ya mchele, plastic low quality la nje, perfomance mbovu etc.
mkuu samsung inaitwa samsung sababu ya vitu vyake, unapoongelea samsung moja kwa moja unaanza kufikia vitu kama soc za exynos, display za super amoled, material ya nje ya polycarbonate (sasa hivi glass na alluminium) etc.
unapoona simu ya samsung haina element hata moja ya u samsung then haina maana ya kuimiliki mkuu.
angalau hata j3 ya 2016 yenye sd410 na kioo cha hd cha super amoled ni nzuri, nafkiri bei zake ni humo humo kama kina grand prime plus.
pearl hotel mtaa wa swahili kariakoo karibu na kituo cha daladala kariakoo masaki.Mkuu.
Wapi wanauza Nokia 6 kwa hapa Tanzania?