Kuna utofauti gani jamani kati ya Iphone na ipod

Kuna utofauti gani jamani kati ya Iphone na ipod

Chief mkwawa kuna siku niliandika thread kuhusiana na TV yangu Samsung flat screen series 4 4000 inashindwa kupeleka moto wa kutosha kusoma ext HDD ukanishauri nidownload play store ampere charging, nikafanya hivyo lakini hakufika 500amh hii vp inaweza ikawa tatizo ni TV?

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo unatakiwa ununue usb cable ya external hdd yenye usb pin mbili moja utachomeka kwenye charger inayotoa 12v with 5mA then hyo hdd itasomwa tu
 
Chief mkwawa kuna siku niliandika thread kuhusiana na TV yangu Samsung flat screen series 4 4000 inashindwa kupeleka moto wa kutosha kusoma ext HDD ukanishauri nidownload play store ampere charging, nikafanya hivyo lakini hakufika 500amh hii vp inaweza ikawa tatizo ni TV?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine swala la usb kushindwa kusoma linaweza kuchangiwa na aina na usb cable unayo tumia nikimaanisha diameter ya cable yako maana kama unatumia cabla ndefu sana halafu ni hizi fake haiwezi kusoma lakin kuna wakati baadhi ya usb port hutoa umeme mdogo hasa current , ila anza na cable kwanza
 
pearl hotel mtaa wa swahili kariakoo karibu na kituo cha daladala kariakoo masaki.

sema pengine ni refurbished za china, maana wafanyabiashara wetu ndo wanayoyajua hayo, bei nimeona 650,000

mpaka sasa sijamjua agent mpya wa Nokia. hivyo mambo ya warranty sijui yapoje.

pia kupatana na facebook naziona ona.
Shida kubwa unaweza kuuziwa kanyaboya au zile zilizotengenezwa kwa ajili ya soko la China.
Hawa HMD naona hawapo serious kabisa.
Yani hadi leo simu haipo sokoni? Aibu kubwa.
 
Chief mkwawa kuna siku niliandika thread kuhusiana na TV yangu Samsung flat screen series 4 4000 inashindwa kupeleka moto wa kutosha kusoma ext HDD ukanishauri nidownload play store ampere charging, nikafanya hivyo lakini hakufika 500amh hii vp inaweza ikawa tatizo ni TV?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tafuta makaa ya mawe ndio yana moto mkali hayo mabox ya juice za azam yawezi kupeleka moto unaotaka
 
pearl hotel mtaa wa swahili kariakoo karibu na kituo cha daladala kariakoo masaki.

sema pengine ni refurbished za china, maana wafanyabiashara wetu ndo wanayoyajua hayo, bei nimeona 650,000

mpaka sasa sijamjua agent mpya wa Nokia. hivyo mambo ya warranty sijui yapoje.

pia kupatana na facebook naziona ona.
Ufafanuzi hapo kwenye REFURBISHED
 
Shida kubwa unaweza kuuziwa kanyaboya au zile zilizotengenezwa kwa ajili ya soko la China.
Hawa HMD naona hawapo serious kabisa.
Yani hadi leo simu haipo sokoni? Aibu kubwa.
na tarehe 16 mwezi wa 8 wanazindua nyengine, probably nokia 8 na 2. sijui hata watahandle vipi distribution. wamevunja ahadi yao kwamba watauza simu zao dunia nzima.
 
na tarehe 16 mwezi wa 8 wanazindua nyengine, probably nokia 8 na 2. sijui hata watahandle vipi distribution. wamevunja ahadi yao kwamba watauza simu zao dunia nzima.
Wanajua kuzindua tu na sio kuhakikisha distribution inafika kila sehemu.
Apple wakizindua simu zao, wanakwambia kabisa kuanzia siku fulani mzigo utakuwa sokoni na kweli unaukuta.
Hawa HMD wanashindwa vipi kuuza hata kupitia tovuti yao?
Nokia waingilie kati hili swala.
 
Wanajua kuzindua tu na sio kuhakikisha distribution inafika kila sehemu.
Apple wakizindua simu zao, wanakwambia kabisa kuanzia siku fulani mzigo utakuwa sokoni na kweli unaukuta.
Hawa HMD wanashindwa vipi kuuza hata kupitia tovuti yao?
Nokia waingilie kati hili swala.
pengine labda wamekosa agent huku kwetu, maana naona midcom walishajiuza kwa wachina siku nyingi. ngoja tusubirie tuone.
 
pearl hotel mtaa wa swahili kariakoo karibu na kituo cha daladala kariakoo masaki.

sema pengine ni refurbished za china, maana wafanyabiashara wetu ndo wanayoyajua hayo, bei nimeona 650,000

mpaka sasa sijamjua agent mpya wa Nokia. hivyo mambo ya warranty sijui yapoje.

pia kupatana na facebook naziona ona.
Kama ni pale SWAHILI MOBILE, sikuzikuta maana nilifika leo kuzicheki
 
Kama ni pale SWAHILI MOBILE, sikuzikuta maana nilifika leo kuzicheki
pengine hazijui au uliemkuta hafahamu au zimeisha. rafiki yangu mmoja jana alizikuta na picha alinitumia

DnPpwCS.jpg

VPuO5AV.jpg

9LUm8v1.jpg
 
Back
Top Bottom