grand prime plus na j2 mpya nafkiri ni simu moja, nimeiona in real life haina tofauti na kina tecno, kioo kama kimemwagiwa maji ya mchele, plastic low quality la nje, perfomance mbovu etc.
mkuu samsung inaitwa samsung sababu ya vitu vyake, unapoongelea samsung moja kwa moja unaanza kufikia vitu kama soc za exynos, display za super amoled, material ya nje ya polycarbonate (sasa hivi glass na alluminium) etc.
unapoona simu ya samsung haina element hata moja ya u samsung then haina maana ya kuimiliki mkuu.
angalau hata j3 ya 2016 yenye sd410 na kioo cha hd cha super amoled ni nzuri, nafkiri bei zake ni humo humo kama kina grand prime plus.