hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Fisi akitaka kula watoto wake, ili kuhalalisha ulafi wake, ataanza kuwashutumu kuwa wananukia kama mbuzi.
Hillo unalosema nikweli nikianza naoparesheni sangara huku ziwa Tanganyika wamekuta uvuvi sio haram lakini kwakuwa pesa ndio ilikuwa shida yao wamechoma nyavu bilautaratibu nakunyanganya engine za uvuvi nakusema zikakombolewe kwa pesa laki 5 kilamashine na engine zingine nikwaajili ya kufanya safari za maboat kubeba mizigo na abiria kutoka sehemu kwenda sehemu zote wamekusanya sasa tunajiuliza kwanini hivi shida niuvuvi haram za maboti unashika zanini serekali imeamua kukaba azarani kwa kisingizio cha tokomeza uvuvi haram utasikia tumekuasanya mapato kweli nawanajisifu sema tumedhulumu watu sio kukusanya mapatoWanajanvi, kabla ya kuleta thread hii nimejiridhisha kutoka chanzo zaidi ya kimoja, leo asubuhi kuna mtu amenipa habari za kushtusha, sikutaka kuamini lakini nikaenda chanzo kingine na chenyewe kikajiridhisha toka chanzo kingine na wakasema ni kweli.
Ni hivi sasa hivi matajiri wananyanganywa pesa zao na serikali bila kupenda, wakija wakakukosa kwenye kodi wanakwambia kinagaubaga kwamba kodi yetu inaonekana unalipa vizuri lakini unaonekana una pesa nyingi kwenye account zako, kwa hiyo kinachofanyika wanakwambia tunataka kiasi fulani la sivyo tutafunga account zako! Mfanya biashara anakuwa hana namna zaidi ya kuachia mzigo!. Hii habari ni ya kustusha sana kwa nchi inayoendesha utawala wa sheria. Huu ni ujambazi wa kidola na haukubaliki.
Kwa hiyo kama una pesa nyingi kwenye account zako be vigilant ujambazi huu hauchagui lakini kibaya zaidi unaiangamiza nchi yetu watu wanakimbiza mitaji nje.
Zakia Megji alikuwa kimya muda mrefu wa kukosa ulaji na ww ukawa kimya. Mara tu kapata ulaji na ww umeanza kutokea jukwaani. Ni bahati mbaya au tuunganishe dots?Kaisome post niliyoijibu kwa bandiko hilo.
Nani alikwambia Magu hanunui papai?
Zakia Megji alikuwa kimya muda mrefu wa kukosa ulaji na ww ukawa kimya. Mara tu kapata ulaji na ww umeanza kutokea jukwaani. Ni bahati mbaya au tuunganishe dots?
Hata maduka yaliyovamiwa Arusha walikomba pesa zote na mpaka sasa hawajarudishiwa, kibaya zaidi walichukua bila documents za makabidhiano.
sawaPorojo.
Kila akosoae ni mchochezzi.....vipi msiba na Tanzanite nao tuwaiteje watetezi??/Lete ushahidi mkuu, ama vipi wewe ni mchochezi tu kama wengine
Acha kuleta uhuni.Serikali haiwezi fanya hivy
serikali haiwezi fanya hivyo???? Teh teh teh.....wajinga ndio waliwaoAcha kuleta uhuni.Serikali haiwezi fanya hivyo.
Ukiwarushia wengine mawe, hakikisha haukai katika nyumba ya vioo. "Kujifanaya" = kujifanya, "unajuwa" = unajua na "unanchekesha" = unanichekesha.
Wewe ita propaganda....mie nimemuamini 100%Mtoa mada anaonekana kuwa hana upeo mkubwa wa uelewa na anatutaka nasi kushabikia propaganda zake zisizo mshiko,wala ushahidi wowote,inaoneka kama vile anataka kuwatisha baadhi ya wajasiliamali wawe na wasiwasi na serikali yao, hizi habari inaonekana dhahiri kuwa ni za kutungwa na ndio maana hakumtaja hata mfanyabiashara aliyenyang'anywa pesa zake na serikali, ni wajinga wachache tu ndio wataamini upuuzu huu.
Mwenye akili huchukua jambo na kulifanyia utafiti.Wewe ita propaganda....mie nimemuamini 100%
Kwani 25%ya waastaafu kaleta nani? 15 % kaleta nani? Ni nani huyu anayejiita raisi wa masikini huku akibana kuongeza mishahara na kuongeza makato kama ya heslb? Serikali hii inajiombea upofu wa jicho moja ili wewe upate wa macho yoteJuzi Rais katangaza waziwazi TRA wasiwabughudhi wananchi kwa estimates za kodi. Siku ya pili naibu Waziri akamsimamisha kazi Afisa Mwenye cheo wa TRA Dodoma kwa makosa ya kubughudhi wafanya biashara.
Leo serikali hiyo hiyo ifanye aliyoleta mleta mada?
Labda angesema kuna maafisa walio waaminifu wanafanya hayo ningemuelewa. Lakini dola? Hapo bado kabisa kutuaminisha wengine.
Sasa hivi kinachoendelea hapa JF ni wale wa upinzani kuja na kila uongo wa kuipaka matope serikali ya CCM. Nahisi wale vijana waliokuwa kitengo cha IT cha ukawa safari hii wameanza mapema fitna zao za kijinga.
Lakini wanaharakati wa CCM tunawahakikishia kuwa tupo macho na hatujasinzia.
Hakuna mtu amekuambia uamini, ww soma, tafakari na kama ikibidi liache au lifanyie utafiti, ila hizi ishu zipo na zinaendelea.Niaminishe mkuu kwa ushahidi. Siwezi kuamini porojo.
ifike mara ngapi?Tanzania imefikia huku kweli?
nenda naye weweTwende na Magufuli 2020.