Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Utafikiwa tu siku moja na dikteta na utaamini but it will be too late! Walianza akina Lissu, ukanyamaza. Wafanyabiashara, unabisha. Waandishi wa habari, ukanyamaza. Mabenki, ukasema wapiga dili. Mafao ya wafanyakazi, umenyamza. Kuna siku itafika kwako. Ndio sheria ya udikteta.
Niaminishe mkuu kwa ushahidi. Siwezi kuamini porojo.