Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,099
- 34,045
Duuh duuh....hivi kumbe kweli haya mambo yapo?
Kuna Mama alichelewa kufuatilia hela ya Miradhi ya mume wake, akakuta akaunt iko dormant na hela iliyokuwepo, 4.3 Mill imepelekwa Hazina, tena ya Dodoma, so Bank husika ikamuomba mama afuatilie huko, wao wameelekezwa na BOT kuwa hela za namna hiyo apewe hazina kuzitunza