Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Tuhuma kuhusu nyama ya mbwa zinaonekana zipo mikoa fulani tukifika huku tunajua tunapata mbuzi kumbe mbwa tena kisiri.
Mkoa kama tabora na kigoma baadhi ya wanyamwezi na wasukuma huamini nyama ya mbwa inatoa nguvu au huweza kutibu magonjwa fulani ya kienyeji.
Mkoa wa Shinyanga na simiyu baadhi ya vijiji huonyesha kuwa nyama ya mbwa huuzwa kwa siri au hutumika kama tiba mbadala.
Mkoa wa mara na baadhi ya maeneo ya arusha hasa zile zinazoishi karibu na mpaka wa Kenya, kuna taarifa za ulaji wa nyama ya mbwa hasa kwa sababu za kitamaduni au uganga.
Ndio maana hii mikoa inawatu wenye roho za mbwa sasa sijajua kwa nini geita wamekosekana.
Mkoa kama tabora na kigoma baadhi ya wanyamwezi na wasukuma huamini nyama ya mbwa inatoa nguvu au huweza kutibu magonjwa fulani ya kienyeji.
Mkoa wa Shinyanga na simiyu baadhi ya vijiji huonyesha kuwa nyama ya mbwa huuzwa kwa siri au hutumika kama tiba mbadala.
Mkoa wa mara na baadhi ya maeneo ya arusha hasa zile zinazoishi karibu na mpaka wa Kenya, kuna taarifa za ulaji wa nyama ya mbwa hasa kwa sababu za kitamaduni au uganga.
Ndio maana hii mikoa inawatu wenye roho za mbwa sasa sijajua kwa nini geita wamekosekana.