apple

An apple is a sweet, edible fruit produced by an apple tree (Malus domestica). Apple trees are cultivated worldwide and are the most widely grown species in the genus Malus. The tree originated in Central Asia, where its wild ancestor, Malus sieversii, is still found today. Apples have been grown for thousands of years in Asia and Europe and were brought to North America by European colonists. Apples have religious and mythological significance in many cultures, including Norse, Greek and European Christian tradition.
Apple trees are large if grown from seed. Generally, apple cultivars are propagated by grafting onto rootstocks, which control the size of the resulting tree. There are more than 7,500 known cultivars of apples, resulting in a range of desired characteristics. Different cultivars are bred for various tastes and use, including cooking, eating raw and cider production. Trees and fruit are prone to a number of fungal, bacterial and pest problems, which can be controlled by a number of organic and non-organic means. In 2010, the fruit's genome was sequenced as part of research on disease control and selective breeding in apple production.
Worldwide production of apples in 2017 was 83.1 million tonnes, with China accounting for half of the total.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Tanzania Apple watch series na bei zake

    APPLE WATCH  SERIES 10 46MM – 1,130,000/= 42MM – 1,060,000/= SERIES 9 41MM – 910,000/= 45MM – 980,000/= SERIES 8 41MM – 750,000/= 45MM – 810,000/= SERIES 7 41MM – 680,000/= 45MM – 730,000/= SERIES 5 40MM – 480,000/= 44MM – 530,000/= SERIES 4 40MM – 450,000/= 44MM – 500,000/= SERIES SE2 40MM –...
  2. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Apple imezindua iPhone 18 Pro na iPhone 18 Pro Max

    Apple imezindua iPhone 18 Pro na iPhone 18 Pro Max, huku bei zikianzia $1,199, sawa na takribani TSh milioni 3.18, wakati toleo la Pro Max likianzia $1,299, sawa na takribani TSh milioni 3.44 kwa viwango vya sasa vya ubadilishaji. Simu hizo zimekuja na chip mpya ya A20 Pro, iliyotengenezwa kwa...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Leo Tarehe 9 September, CEO mpya wa Apple John Ternus (amemreplace Tim Cook alieachia madaraka mwanzoni mwa huu mwezi), amezindua products mbalimbali za Apple kwenye event yao waliyoiita "Surprise and Shine"! Event hiyo iliofanyika kwenye Steve Job's Theater, Apple Park California, USA, usikute...
  4. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Apple washakinukisha huko na iPhone 18, lindeni migongo yenu.

    Mie sina mengi ila nawasihi nyinyi mabinti na vijana wa mjini msio na kazi za maana lakini mnataka kumiliki iphone kila toleo jipya "Lindeni migongo yenu" mgongo ni kiungo muhimu sana
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Apple yatambulisha iPhone 18 Pro. Mambo tisa yatakushangaza zaidi

    Apple yatambulisha iPhone 18 Pro. Apple imesema iPhone 18 Pro na Pro Max mpya zina mfumo bora zaidi wa kamera, maisha marefu zaidi ya betri na utendaji wenye nguvu zaidi kuwahi kutolewa kwenye iPhone. Apple inasemekana imeandaa maboresho makubwa kwenye iPhone 18 Pro, huku baadhi ya mabadiliko...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗔𝗽𝗽𝗹𝗲 𝗸𝘂𝗿𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗶𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲 𝗺𝗯𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗡𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘆𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝗯𝗶𝗹𝗮 𝗸𝘂𝗯𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶 𝗹𝗶𝗻𝗲

    🍎 Apple kufanya mapinduzi makubwa ya Teknolojia kwa watumiaji wa iphone ulimwenguni 👊. Apple kuja na feature mpya ambayo itaweza kuruhusu iPhone mbili kutumia namba moja ya simu kupitia Mfumo wa eSIM. 🤯📲📲 Maana yake? Unaweza kuwa na iPhone yako ya kawaida na nyingine ya ziada, huku...
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 🔓🔥 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗟𝗜𝗡𝗭𝗜? 𝗶𝗢𝗦 𝟮𝟲 𝗦𝗮𝘀𝗮 𝗜𝗻𝗮 𝗝𝗮𝗶𝗹𝗯𝗿𝗲𝗮𝗸!

    🍎 Apple alisema “iOS 26 ni salama kabisa…” 😏 haitaweza kuwa na jailbreak 👀 😈Jailbreak community: “Hold my iPhone!” 😂🔥 Hatimaye developer maarufu ulimwenguni Lars Froder anayejulikana kama opa334 ametoa Mfumo ambao unaweza kuondoa vizuizi kwa watumiaji wa iphone. Dopamine 3.0 imeleta jailbreak...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kupata verification code ya Apple

    Wakuu, nina tatizo la kupata verification code kutoka Apple, vipi kwa waliokumbana na changamoto hii wamefanyaje? Nimekwama .
  9. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Apple Wametangaza iOS 27 na Apple Intelligence (AI). Wametaja na List ya Simu zitakazo-support!

    Jana kwenye WWDC 2026 Apple wamezindua iOS 27, macOS 27 Golden Gate, iPadOS 27, na watchOS 27. iOS 27 itakua supported na simu zote kuanzia iPhone 11 kuja juu. iPadOS 27 itakubali kwenye iPad Mini (6th gen) pamoja na Mini yenye A17 Pro kuja juu. macOS 27 kuanzia Macbook “nyingi” za 2020...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Ni either mimi hesabu za Kihasibu sijui au Hawa jamaa waheshimiwe! Makala inaniambia kampuni la Marekani Apple, wenye iPhone, Mac, na iPads zao, wana net-worthy ya zaidi ya US$4.5 trillion tunavyoongea. Hapo hapo budget yetu kwa mwaka ni US$24 billion. Kwahiyo ukigawa hapo si kwamba Apple...
  11. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Vita ya Google na Apple nani Mshindi?

    Kama unafikiria Google tunaweza kutumia mfumo wa Liquid Glass kuendana na iPhone kwenye vifaa vyetu sahau kabisa 👋. Hii ndo kauli mpya ya ametoa Bwana Sameer Samat Rais wa Google kwenye masuala yote ya Ecosystem ya Android. Aliweza kutoa kauli hiyo baada Uvumi kusambaa kuwa Google wataweza...
  12. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka kwenye makampuni hayo ifikapo saa nane mchana kwa saa za Tehran siku ya Jumatano - The Hill Baada ya hapo wataanza kuwalipua. IRGC imetishia makampuni makubwa ya kiteknolojia...
  13. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Apple Pencil 2GEN for sale

    📌 Apple Pencil 2 Gen – Inafaa kwa iPad Pro 📌 iPad zinazounga mkono Apple Pencil 2: • iPad mini (6th generation) • iPad Air (4th gen & 5th gen) • iPad Pro 11-inchi (1st, 2nd, 3rd, 4th gen) • iPad Pro 12.9-inchi (3rd, 4th, 5th, 6th gen) Bei 💲 Tsh 35,000/= 📞 0712350159 🚩 Arusha Town
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Android inauza simu mara 4 zaidi kuliko Apple kila mwaka, lakini Apple inaongoza kwa mapato

    Mwaka 2025, Android ilisafirisha simu 1,000,000,000 huku iPhone ikisafirisha 240,000,000, hivyo kwa idadi ya vifaa Android iko ligi tofauti kabisa. Hata hivyo, bei ya wastani ya iPhone ni dola 1,060 sawa na Tsh. 2.756 Milioni, ikilinganishwa na dola 370 sawa na Tsh 962,000 kwa simu za Android...
  15. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

    Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini 🙂. Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi kuzifunga apps zote alizozifungia kwa wakati mmoja kutokana na Mfumo wa iOS ulioundwa kuweza kudhibiti...
  16. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Vita ya Android na iPhone imefikia tamati sasa

    Hatimaye ile vita ya utata iliyopo kati ya Android na iphone imefikia tamati baada ya Google kutambulisha mfumo rahisi wa kuweza kurushiana vitu Toka Kwenye android kwenda kwenye iphone. Kupitia blogu ya Google, Android waliweza kutambulisha njia mpya Rahisi ya kuweza kutumia QuickShare Kwa...
  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Apple wamezindua socks kwaajili ya iPhone yako kwa Tsh 560,000/= tu!

    Yap! Hujakosea kusoma. Socks kwa Laki 5 na Elfu 60 tu ($230), hapo ni US bado usafiri, kodi na faida ya muuzaji. Apple wamezidua phone pocket aka iPhone socks kwaajili ya kubebea iPhone yako yoyote kuanzia mpya 17 series kurudi nyuma. Kwa kushirikiana na designer wa Japan, Issey Miyake...
  18. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Apple event Septemba 9, Imewekaa Viwango vipya katika vifaa vyake

    Apple event ya Septemba 9 imetoa muelekeo mpya wa kimkakati wa kampuni hiyo katika kuimarisha utawala wake wa soko la vifaa vya elektroniki. Badala ya tu kutangaza bidhaa mpya, Apple imeonyesha jinsi inavyoendelea kuunganisha bidhaa zake na kuwa mfumo mmoja wa kipekee, huku ikiboresha utendaji...
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Leo tarehe 9 September Apple wamezindua iPhone 17 series na accessories nyingine!

    Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya. Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa na CEO wao Tim Cook. Simu tajwa ni iPhone 17, iPhone Air, iPhone 17 Pro na iPhone 17 Pro Max...
  20. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Apple walitumia zaidi ya Trillion 25 kwenye Project Titan na ikafeli bila kutengeneza ata gari moja la kuzugia!

    Wanavyosemaga Kampuni la Teknolojia Apple lina hela hawatanii. Ndio maana kuchoma Trillion 25 kwa miaka 10 kwenye R&D, kwao ni hela ndogo (hii ni sawa na net profit ya mwezi mmoja!) Sasa, hawa jamaa mwaka 2014 walipata wazo la kuingia kwenye sekta ya magari, na kutaka kutengeneza gari la...
Back
Top Bottom