Kuna ukimya na utulivu

Kuna ukimya na utulivu

Ule mwangwi wa kile kishindo haujajibu bado. ili uwe mwangwi lazima kuwe na mshindo nyuma

Kaya imeshurutishwa kukaa kimya kwa lazima lakini sio tulivu. Mafikara yanawasokota ndani kwa ndani na fukoto ni kubwa.

Utulivu huleta ukimya, lakini ukimya kamwe hauwezi kuleta utulivu ndio maana Waswahel wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Ni kama vile kaya iko kwenye kipindi cha mpito cha sintofahamu kubwa.

  • Wakuropoka wameropoka
  • Wakuongea wameongea
  • Wa kushauri wameshauri
  • Wa kutabiri pia na hata wale wa ramli chonganishi, wote Nolan

Hii ni jamhuri next level. Ukimya uliopo si wa kawaida kiasi kwamba hata wanakaya sasa wanaogopa hata kunong’onezana yatokanayo kunaogofya! Kunatisha sana.

Hebu tuzoeeni kuishi kwa ukimya hata kama hatuna utulivu ili maisha yasonge. Ukimuona fulani karopoka ropo na bado anadunda na hata kugongea veve. Makinika sana. Usiige tembo kunya utapasuka msamba wahenga walisema.
Kiongozi post zako zinaonesha unatamani sana msiba unaouhisi uwe ni kweli. Kuna uzuri gani katika hilo? Siku za mwanadam aliyezaliwa na mwanamke si nyingi nazo hujaa taabu. Sioni busara Katika kufurahia msiba wa mtu, uwe halisi ama wakufikirika kama ilivyo sasa. Uwe Rais ama raia wa kawaida, utakufa tu wakati ukifika.

May God wishes prevail
 
Kiongozi post zako zinaonesha unatamani sana msiba unaouhisi uwe ni kweli. Kuna uzuri gani katika hilo? Siku za mwanadam aliyezaliwa na mwanamke si nyingi nazo hujaa taabu. Sioni busara Katika kufurahia msiba wa mtu, uwe halisi ama wakufikirika kama ilivyo sasa. Uwe Rais ama raia wa kawaida, utakufa tu wakati ukifika.

May God wishes prevail
Naomba nitendee haki kwenye hili.. Tafadhali nioneshe post hata moja tu inayofurahia msiba wa yeyote yule....!!!!

Ni vema ukasoma kitu kwa tafakuri na kukielewa ...usisome ukiwa umeshaandaa majibu yako tayari
 
ShikAmoo mshana... duuuuh wewe kiboko
Tumemaliza hili
giphy.gif
 
Back
Top Bottom