Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Ule mwangwi wa kile kishindo haujajibu bado. ili uwe mwangwi lazima kuwe na mshindo nyuma
Kaya imeshurutishwa kukaa kimya kwa lazima lakini sio tulivu. Mafikara yanawasokota ndani kwa ndani na fukoto ni kubwa.
Utulivu huleta ukimya, lakini ukimya kamwe hauwezi kuleta utulivu ndio maana Waswahel wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Ni kama vile kaya iko kwenye kipindi cha mpito cha sintofahamu kubwa.
Hii ni jamhuri next level. Ukimya uliopo si wa kawaida kiasi kwamba hata wanakaya sasa wanaogopa hata kunong’onezana yatokanayo kunaogofya! Kunatisha sana.
Hebu tuzoeeni kuishi kwa ukimya hata kama hatuna utulivu ili maisha yasonge. Ukimuona fulani karopoka ropo na bado anadunda na hata kugongea veve. Makinika sana. Usiige tembo kunya utapasuka msamba wahenga walisema.
Kaya imeshurutishwa kukaa kimya kwa lazima lakini sio tulivu. Mafikara yanawasokota ndani kwa ndani na fukoto ni kubwa.
Utulivu huleta ukimya, lakini ukimya kamwe hauwezi kuleta utulivu ndio maana Waswahel wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Ni kama vile kaya iko kwenye kipindi cha mpito cha sintofahamu kubwa.
- Wakuropoka wameropoka
- Wakuongea wameongea
- Wa kushauri wameshauri
- Wa kutabiri pia na hata wale wa ramli chonganishi, wote Nolan
Hii ni jamhuri next level. Ukimya uliopo si wa kawaida kiasi kwamba hata wanakaya sasa wanaogopa hata kunong’onezana yatokanayo kunaogofya! Kunatisha sana.
Hebu tuzoeeni kuishi kwa ukimya hata kama hatuna utulivu ili maisha yasonge. Ukimuona fulani karopoka ropo na bado anadunda na hata kugongea veve. Makinika sana. Usiige tembo kunya utapasuka msamba wahenga walisema.