Hahahaha anataka kwanza atrend dunia nzima..kwamba na yeye ni mtu mkubwa,Kama alivyo wa NK,Russia,US etc etc..Magufuli kiboko,anajua kuichezesha Tanzania vizuri hadi Dunia nayo bila kumuona Magufuli nayo inatulia,eti hadi Boko Haram wamesimamishwa mapambano nao wanamsikilizia Mzee Baba,huko US hata Baiden kasahaulika,macho na masikio ya Dunia kwa Sasa yako kwa Magufuli!! All eyes on Magufuli!!









yaani UFIPA wana vituko sana.Chadema mnawashwa washwa sana
Na bado TU,
mtawashwa zaidi na ziaid.
Endeleeni TU na upumbavu wenu
Upupu wenu uko jikoni unachemka![]()
Huenda tuko kwenye autopilot huyu mama kaambiwa atuweke bize na uzinduzi
wake wa vilivyozinduliwa enzi za Mwinyi



Now it's seven plagueBas hakika huu ndo mwisho wa empire hile kutoka 5 tena hadi kutoonekana tena.
Je ni karma hii?
Je hii stroke iliyompata huyu mzee wetu Bakayoko Ni nin?
Vipi kuhusu mapigo saba?
Hahahahahaahhahaaa mbavu zanhu mie dah manunu kumbe kafa?Mwana mpotevu hatunaye Tena, Manunu tutakukumbuka daima na vijora vyako.
Hahahaa ndo ukomeUkweli kabisa sina raha moyoni.. Ntaweka wapi uso wangu mimi??
🤣🤗🤭🙆Who cares when the light goes off in a sky of a million stars?
Kwamba kikomo cha kuwa kimefika tamati?
Dar ni Alfa nao Mega,aliikashfu Dar,aliiua Dar refer to Biashara Kariakoo,bomoa bomoa,aliisengenya Dar,akaikimbia Dar,hatimae akarudi kuja kuivunja Dar kabisa(Jiji) lakini hapa Dar haukumuacha salama,ikamvunja yeye milele.Bas hakika huu ndo mwisho wa empire hile kutoka 5 tena hadi kutoonekana tena.
Je ni karma hii?
Je hii stroke iliyompata huyu mzee wetu Bakayoko Ni nin?
Vipi kuhusu mapigo saba?
Huu uandishi ni zaidi ya Shaban -Robert.Dar ni Alfa nao Mega,aliikashfu Dar,aliiua Dar refer to Biashara Kariakoo,bomoa bomoa,aliisengenya Dar,akaikimbia Dar,hatimae akarudi kuja kuivunja Dar kabisa(Jiji) lakini hapa Dar haukumuacha salama,ikamvunja yeye milele.
Sio vizuri mtu Kama wewe kuwa mdaku! Haipendezi hii inafanya nifikirie ktk namna ya tofauti!
Mwalimu wako wa fasihi andishi atakuwa mzuri sana. Hongera sana. Kuna Jiji la Arusha, Jiji la Mbeya, Jiji la Mwanza n.k yote yamebeba jina la mkoa. Iweje Jiji la DSM livunjwe? Mungu ni upendo na kanuni yake tuishi kwa upendo. Tusijidanganye kutaka jina la Mungu Bure wakati moyoni kumejaa chuki, uuaji, utesaji, unyanyasaji, wivu, Yaani ni unafiki mtupu. Tutalipwa kwa MATENDO yetu tukiwa hapa hapa DUNIANI.Dar ni Alfa nao Mega,aliikashfu Dar,aliiua Dar refer to Biashara Kariakoo,bomoa bomoa,aliisengenya Dar,akaikimbia Dar,hatimae akarudi kuja kuivunja Dar kabisa(Jiji) lakini hapa Dar haukumuacha salama,ikamvunja yeye milele.