A vetter is vetting under disguise and subtle approach so as to vouch veracity.Hivi ni kweli ma G T wa JF wameshindwa kunusa alipo Mkulu?![]()
Kuna MTU msibani Leo akawa anaropoka hizo habari wananchi wote tukamkimbia maana ni hatari na nusu






Hahhahahahahahaa...kyekyekyekyeWatu naona mnaruka ruka tu.
SI mseme, eeh semeni tujue kwamba Ebhana Ni hivi na hivi..ee tujue.
Sasa mnaruka ruka, mara ngo sijui, eeh kyekyekyee..ebhanaaeee.
Twambieni kwmba Ebhana tiyari au Bado.
In brother K's voice😂😂😂
Au kohoawa tu koyoo koyoo alafu tabasamHahhahahahahahaa...kyekyekyekye
Sielewi elewiKuna mabadiliko kwani 😳
Vuta pumzi ata nyumba ya kwanza walijipanga siku 10Sielewi elewi
Kitu kimepiga chafya wanasema dalili nzuriSielewi elewi
Daaah aisee...Kitu kimepiga chafya wanasema dalili nzuri
Ngoja tuoneVuta pumzi ata nyumba ya kwanza walijipanga siku 10
DÀà h ipo wap tena ....loooh mayoooinasemekana gari ya kubeba maiti ipo mahali... jeiwii wanafanya maandalizi ya hayati!
inasemekana lakini
Unadhan wanarecover soon..thubutuuDaaah aisee...
Hakuna dalali tungeshaona slow slow akijiselifia kwenye ile v80Unadhan wanarecover soon..thubutuu
Hahahaha.hawaponi.haraka namna hiyo..ile homa ni anaza levoHakuna dalali tungeshaona slow slow akijiselifia kwenye ile v80
Ajuwi chombo tocha kina karibia Mars na muda sio mrefu kitaingia kwenye orbit 🚀Unadhan wanarecover soon..thubutuu
Chadema mnawashwa washwa sana
Na bado TU,
mtawashwa zaidi na ziaid.
Endeleeni TU na upumbavu wenu
Upupu wenu uko jikoni unachemka![]()
Apo sawaHahahaha.hawaponi.haraka namna hiyo..ile homa ni anaza levo