HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,345
- 94,508
Mlisoma mchezo mapemaHatimaye hatunaye.
Mlisoma mchezo mapemaHatimaye hatunaye.
AiseeR.i......
Bwn Mshana huku kitaani mambo yanaendelea kama kawa sisi tunachapa kazi tu. Ila ukiingia huku mitandaoni kwenu roho ndio inatetemeka
Huyo jirani na Mzee maiga ni nani?is this a coincidence? kuna shida sehemu jamani, our statesmen are falling.. let alone our forefathers are falling silently. we are grieving
View attachment 1728507
Na alishafariki last week,alikuwa katibu wa Rais baada akahamishwa Mara na ndipo alipofariki huko.Huyo jirani na Mzee maiga ni nani?
Dunia haina siri ni kati ya misemo yeye nguvu duianiMlisoma mchezo mapema
Huko kote usiende baki kati na kati. Meditation ni madhambi na ushirikina na Nyimbo ni ukhanithi na maasi.Sasa mkuu unanifanye nifute nyimbo zote kwenye simu yangu ili nianze kudownload audio za meditation
ni mimi ndugu yangu kapuku tu fulani wa kitaa mbangaizaji kama wengine tuuMkuu sijui tukuite jina gani nahisi mshana si jina lako halisi bali walitumia kutuhadaa sisi wwe ni kiongozi mkubwa kabsa ktk nchi hii tena kutoka ikulu.si kwa siri hizi zenye kificho.
wewe si mshana
Hawawezi kujaNasubiri kuona watu wakirudi hapa kuramba matapishi yao, ndio maana sipondi thread ya mtu na ni bora kukaa kimya kwani mengi ninayofahamu hayafahamiki na wengi lakini pia wengi wanafahamu mengi ambayo nami siyafahamu.
is this a coincidence? kuna shida sehemu jamani, our statesmen are falling.. let alone our forefathers are falling silently. we are grieving
View attachment 1728507
Huu ni mjadala khasa kaka, labda kama huijui meditation vizuri, watu wanadanganyana juu ya hili, matokeo ya hili ni kuja kuzuka Uhindu na Ubudha, ambao nao ni ushirikina.mhh hapana meditation sio madhambi ..bali zambi ni ule muktadha..una meditate kwa ajili ya nani...nini...!!!