Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Tukune basiChadema mnawashwa washwa sana
Na bado TU,
mtawashwa zaidi na ziaid.
Endeleeni TU na upumbavu wenu
Upupu wenu uko jikoni unachemka![]()
Tukune basiChadema mnawashwa washwa sana
Na bado TU,
mtawashwa zaidi na ziaid.
Endeleeni TU na upumbavu wenu
Upupu wenu uko jikoni unachemka![]()
Hata tukienda hatusemiIvi nyie ambao Ni wachawi Sana mmeshindwa kupaa na kwenda kumungalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshaumbuka tayari. Utakufa na stressAlly Bongo aliumbuliwa na Kifo
Kuwatawala watanzania rahisi sanaa..Hahahaha.hawaponi.haraka namna hiyo..ile homa ni anaza
Hata tukienda hatusemiIvi nyie ambao Ni wachawi Sana mmeshindwa kupaa na kwenda kumungalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila betri za remote control manazo?😂 😂 😂
Sisikii na sioni video za misiba..Magufuli kiboko,anajua kuichezesha Tanzania vizuri hadi Dunia nayo bila kumuona Magufuli nayo inatulia,eti hadi Boko Haram wamesimamishwa mapambano nao wanamsikilizia Mzee Baba,huko US hata Baiden kasahaulika,macho na masikio ya Dunia kwa Sasa yako kwa Magufuli!! All eyes on Magufuli!!
AiseeSawa ila betri za remote control manazo?
Kwa Nini? Mana wakishindwa kutoa taarifa inabidi , wazee wa kuruka watupe taarifa.Hata tukienda hatusemi


Bwn Mshana huku kitaani mambo yanaendelea kama kawa sisi tunachapa kazi tu. Ila ukiingia huku mitandaoni kwenu roho ndio inatetemeka



