Vf-successfully
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 253
- 166
Hakuna chakufungua kesi mzungu akijaribu kunionyesha hata ubaguzi nita mlipa kifo na hapa kwa jina la mungututawashtaki kwa mauaji usijali
Hakuna chakufungua kesi mzungu akijaribu kunionyesha hata ubaguzi nita mlipa kifo na hapa kwa jina la mungututawashtaki kwa mauaji usijali
Meditation ni tafakuri maizi, kumbuka hata Kristo alifanya meditation mara nyingi tuu.. Ndio maana nikasema inategemea unataka kumeditate kwenye nini na kwa naniHuu ni mjadala khasa kaka, labda kama huijui meditation vizuri, watu wanadanganyana juu ya hili, matokeo ya hili ni kuja kuzuka Uhindu na Ubudha, ambao nao ni ushirikina.
Masikitiko yangu makubwa ni hii Meditation kwa kiswahili kuitwa TAHAJUDI, huwa nawaza kwanini wajinga wanapewa dhamana na kusimamia mambo.
Labda nikuuize swali msingiwa Meditation ni nini ?
Brother mimisitaki okay nataka tushilikianeOkay
Ingekuwa hivyo isingepewa jina hilo. Kuna istilahi maalumu kwa ajili ya kitendo kufanya tafakuri, wapo walio iita Irfani, na wengine tafkira na mfano wa hayo. Ndiyo maana nikakuuliza juu ya msingi mama wa Meditation lakini lakimi hujaniambia, ukiona inafungamana na mengine ujue siyo tena.Meditation ni tafakuri maizi, kumbuka hata Kristo alifanya meditation mara nyingi tuu.. Ndio maana nikasema inategemea unataka kumeditate kwenye nini na kwa nani
Meditation kwa tafsiri rahisi kabisa ni tafakuri maizi...!!! Mimi nimeachana na dini za miungu , nimerudi kwenye dini na imani yangu ya mwanzo lakini na meditate meditation inayokubalika ndani ya imani yanguIngekuwa hivyo isingepewa jina hilo. Kuna istilahi maalumu kwa ajili ya kitendo kufanya tafakuri, wapo walio iita Irfani, na wengine tafkira na mfano wa hayo. Ndiyo maana nikakuuliza juu ya msingi mama wa Meditation lakini lakimi hujaniambia, ukiona inafungamana na mengine ujue siyo tena.
Masirahi utakuwa free na ukoloni mamboleo tumeshachuka.... Maslahi yangu yakoje hapo kabla sijaamua
!!!!!!!!!??????Akitoka huko mtachambwa mkome five mingine.Kesho anateua naiona barua ya msigwa
Wewe ni nabii!Ule mwangwi wa kile kishindo haujajibu bado. ili uwe mwangwi lazima kuwe na mshindo nyuma
Kaya imeshurutishwa kukaa kimya kwa lazima lakini sio tulivu. Mafikara yanawasokota ndani kwa ndani na fukoto ni kubwa.
Utulivu huleta ukimya, lakini ukimya kamwe hauwezi kuleta utulivu ndio maana Waswahel wanasema kimya kingi kina mshindo mkuu.
Ni kama vile kaya iko kwenye kipindi cha mpito cha sintofahamu kubwa.
- Wakuropoka wameropoka
- Wakuongea wameongea
- Wa kushauri wameshauri
- Wa kutabiri pia na hata wale wa ramli chonganishi, wote Nolan
Hii ni jamhuri next level. Ukimya uliopo si wa kawaida kiasi kwamba hata wanakaya sasa wanaogopa hata kunong’onezana yatokanayo kunaogofya! Kunatisha sana.
Hebu tuzoeeni kuishi kwa ukimya hata kama hatuna utulivu ili maisha yasonge. Ukimuona fulani karopoka ropo na bado anadunda na hata kugongea veve. Makinika sana. Usiige tembo kunya utapasuka msamba wahenga walisema.
Usinilazimishe kuingia kwenye misiba au machungu mm nimepoteza ndugu zangu wawili kwenye Corona na watatu kwenye siasa mpaka leo siwaoni acha nijilabue na kinywaji, hakuna mahali pameandikwa hayo usemayo.Enyi Watanzania,na washabiki wa siasa,hasa za hunu mtandaoni,huu ni wasaa wa kulia na kuomboleza.
Sio kwa tofauti ile iwayo yote tudhubutu kukaribisha nafsini mwetu laana aliyoikataza Mungu.
Tuungane tulie na kumlilia Mungu kwa hatima yetu.
Ni lipi tunatarajia baada ya huyu kuondoka.
Hakika tumlilie Mungu kwa hatima yetu baada ya Magufuli.
Ni msiba,tuungane kulia pamoja.
Naamini kwa hali ya ubinadamu na hofu ya Mungu,hata wale waliokuwa wakiifanya siasa kwa namna ya ushabiki,hata kama kujeruhika,wametokwa na machozi kumpoteza Raisi wetu.
Mshindani wao wa karibu.
Tuungane kumlilia MZALENDO wa kweli John Pombe Joseph Magufuli.
EWE MWENYEENZI MUNGU TUSAMEHE NA KUTUREJELESHEA FURAHA NA AMANI YA MIOYO YETU TULIYOIONA TULIPOTIZAMA MBELE.
Hesabu tangu siku aliyo sema ndio imetimiaGodbless Lema aliotaje vile?
Je, utabiri wake umetimia au alikuwa amesema ndani ya mi5 ya kwanza?
Ndiyo maana nikakurudisha katika asili ya hiyo meditation. Kisha nikakuuliza msingi mama wa meditation ni nini...? Hili swaki hukunijibu.Meditation kwa tafsiri rahisi kabisa ni tafakuri maizi...!!! Mimi nimeachana na dini za miungu , nimerudi kwenye dini na imani yangu ya mwanzo lakini na meditate meditation inayokubalika ndani ya imani yangu
NitakurejeaNdiyo maana nikakurudisha katika asili ya hiyo meditation. Kisha nikakuuliza msingi mama wa meditation ni nini...? Hili swaki hukunijibu.
Meditation yoyote unayo ijua wewe, lazima kuns sehemu imeegemea, na hilo egemeo ndiyo huitwa au wahusika wanaitakidi salama na kuomba kutokana na na egemeo hilo, ndipo ushirikina na madhambi yalipo.