Kuna ukimya na utulivu

Kuna ukimya na utulivu

Sijawahi kuona wakati uliozalisha wataalam wa kuandika mafumbo kama wakati wa jpm,imebidi tu advance na IQ zetu ili kulewa mambo mengi
giphy.gif
 
3 Ulimwengu wa mtandaoni
Huu kama unaroho nyepesi inapeperushwa na upepo.

Juzi kati usiku kama saa sita hivi ghafla nikashtuka usingizini na nilikuwa nimelala kama nusu saa iliyopita! Akili ikasema ebu fungua JF....kufungua nilikutana na bandiko hilo, break ilikuwa "uzio wa michongoma".
NILIporudi ikawa dakika 2 dua dakika 1 kukagua bandiko hilo limefutwa ama la! Yaani karibu nikeshe. Mida kama ya saa 10:46 alfajiri hivi bandiko likafutwa. Ndipo nilipata usingizi.

Kwa hiyo kwenye Ulimwengu huu hakikisha una roho nzito.
 
Back
Top Bottom