Kuna ukimya na utulivu

Kuna ukimya na utulivu

Magufuli kiboko,anajua kuichezesha Tanzania vizuri hadi Dunia nayo bila kumuona Magufuli nayo inatulia,eti hadi Boko Haram wamesimamishwa mapambano nao wanamsikilizia Mzee Baba,huko US hata Baiden kasahaulika,macho na masikio ya Dunia kwa Sasa yako kwa Magufuli!! All eyes on Magufuli!!
Tunaweza kuchukua nafasi ya Marekani' kimchezo mchezo 😂😂😂
 
Sijawahi kuona wakati uliozalisha wataalam wa kuandika mafumbo kama wakati wa jpm,imebidi tu advance na IQ zetu ili kulewa mambo mengi
 
Back
Top Bottom