Kuna ukimya na utulivu

Kuna ukimya na utulivu

Chadema mnawashwa washwa sana

Na bado TU,
mtawashwa zaidi na ziaid.

Endeleeni TU na upumbavu wenu
Upupu wenu uko jikoni unachemka
 
1615961617370.png
 
Republic ya twita nayo kimya..nl.kwa hakika upepo umetulia
Magufuli kiboko,anajua kuichezesha Tanzania vizuri hadi Dunia nayo bila kumuona Magufuli nayo inatulia,eti hadi Boko Haram wamesimamishwa mapambano nao wanamsikilizia Mzee Baba,huko US hata Baiden kasahaulika,macho na masikio ya Dunia kwa Sasa yako kwa Magufuli!! All eyes on Magufuli!!
 
Siku hizi Tanzania ziko mbili, Tanzania ya kitaaani na Tanzania ya Mitaandaoni!! Ni wwe mwenyewe kuchagua unaitaka Tanzania ipi!!
Mkuu sio Tanzania tu, Ni ulimwengu mzima.
Na siku hizi hatuna nyulimwengu 2 tu, yaani ulimwengu was kawaida na ulimwengu wa roho..siku hizi Kuna nyulimwengu 3..

1 Ulimwengu wa roho
2 Ulimwengu wa kawaida
3 Ulimwengu wa mtandaoni
 
Back
Top Bottom