MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa
Heri ya Pasaka, poleni kwa msiba wa Kanumba, surely he will be missed.
Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye mahusiano? Mf. Mwanaume (Kibantu) yeye anategemewa kuwa kichwa cha nyumba, nikimpenda Laaziz wangu katika mazingira hayo ya kumwacha awe kichwa cha nyumba kuna ubaya?
Mi cjui nimechanganyikiwa? Nisaidieni ninawaomba!
Heri ya Pasaka, poleni kwa msiba wa Kanumba, surely he will be missed.
Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye mahusiano? Mf. Mwanaume (Kibantu) yeye anategemewa kuwa kichwa cha nyumba, nikimpenda Laaziz wangu katika mazingira hayo ya kumwacha awe kichwa cha nyumba kuna ubaya?
Mi cjui nimechanganyikiwa? Nisaidieni ninawaomba!