Kuna Ubaya Wowote?..

Men are from Mars, boys are from Pluto.
Women are from Venus, girls are from Neptune.

EMT the last time i checked Pluto is not even in the category anymore

nafikiri imefutwa haipo kwenye orodha ya sayari

dont be so hard to those boys lol
 
Hapa mbona nina wasi wasi kuwa mtu atakuwa anapendwa kwa 'kuwa kichwa cha nyumba' tu basi...and the subsequent responsibilities ya kuwa 'kichwa cha nyumba si tunazijua wajameni?

Mi sitaki namna hiyo asilani:shock:
 
EMT the last time i checked Pluto is not even in the category anymore

nafikiri imefutwa haipo kwenye orodha ya sayari

dont be so hard to those boys lol

Inawezekana maana last time I checked nilikuta watu wanadai eti:

books


Total confusion
 
Kila mwanamke ana definition yake ya mwanamme kulingana na matarajio yake kwa mumewe/mwenza.
Kama mtu anakidhi vipimo vya kwa tafsiri yangu ya mwanamme, anapewa usukani freely.

Ila kwa tafsiri yangu ya mzee mvulana hawezi pewa usukani hata awe na miaka 100.

Kila mtu ana standard yake ya mwanamme.

Salute Kongosho.

Na katu huwezifikiria juu ya 'kujikabidhi' mazima kwa asostahili kuwa mwanaume!.
 
Hapa mbona nina wasi wasi kuwa mtu atakuwa anapendwa kwa 'kuwa kichwa cha nyumba' tu basi...and the subsequent responsibilities ya kuwa 'kichwa cha nyumba si tunazijua wajameni?

Mi sitaki namna hiyo asilani:shock:
Loh tatizo unadefine kichwa cha nyumba kama unavyoisoma jamani! Hivi unaposema she's my queen au he is my king tunamaanishaga nini?

My everything
 
Hata mimi nataka kujaribu hiyo kitu.

Sema sasa it only pays if that fellow is a real man, kama ni mwanaune suruali au "A boy in a grown man pants"(As I call them) kinda man imekula kwako maana he'll not treat you as a lady, he'll not respect you na hatokua responsible. Mwisho wake ndo kuanza kulalama anakuonea, anakutumia, hakupendi, hakujali, anakunyanyasa n.k

Hivyo kabla ya kumpa usukani hakikisha kua ni dereva anaeielewa vizuri hiyo taaluma, usije ukaishia kuendeshwa kama bajaj za Dasilama.
na

ngumu kujua yupi real yupi foto, watu wana pretend balaa,hayo yalikuwaga enzi hizo bwna cku hizi mambo mseto, wa2 wanafukuzia wapi kinaeleweka wateremke napo, ule uanaume unapungua kila kukicha,( wamejaa wapenda kuhongwa) atakuganda ukidhani mapenzi/mahaba kumbe kuna anachokitaka...muwe na mipaka, tunachoka na hizi kec za wahudumiaji kuja kujiliza liza wametendwa kumbe ni wao wenyewe hawakusoma alama za nyakati....pweeh, huo mnaousema kichwa cha nyumba tunaufanya sana but kwa macho makavu/makali, sasa nendeni kichwa kichwa na hiyo "real man" yenu kesho 2wasome vingine....btw MJ1 kimeshaeleweka? angalia mama ucje angukia pua!
 
Kichwa cha nyumba ni msemo uliopitwa na wakati...!

asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....
 
asante sana....cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, sasa kama nasomesha, nalisha, etc uyo mvaa suruali nae ataitwa kichwa cha nyumba just b'coz ni mwanaume?.....au na define vibaya hiyo "kichwa cha nyumba?...mie kwangu kichwa cha nyumba ni mwanaume anaejua wajibu wake, kuanzia kwa mke/watoto wake etc....
sio kichwa tu huyo ndo mwanaume
 
Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye mahusiano? Mf. Mwanaume (Kibantu) yeye anategemewa kuwa kichwa cha nyumba, nikimpenda Laaziz wangu katika mazingira hayo ya kumwacha awe kichwa cha nyumba kuna ubaya?

Wapo wanaosema kuwa kiongozi wa nyumba ni kazi. Kwa hiyo, ukiangalia swali ulilouliza kwa angle hii, utagundua kuwa family leadership haiwi determined na mila, desturi, faith au values. Rather, familia itaongozwa na mtu ambaye anajua kuongoza. Kichwa cha nyumba should be the person best suited for the job.

Kwa hiyo, kichwa cha nyumba anaweza asiwe yule mwenye kipato cha juu au yule anayebeba maboksi mazito. Bali kichwa cha nyumba ni yule aliye na uwezo wa ku-organise resources za nyumba, kutatua migogoro ndani ya familia na keeping his/her head in a crisis.

Kitu cha muhimu hapa ni kutofautisha kati ya kiongozi kwenye sehemu ya kazi, na kiongozi wa familia. Tofauti na kiongozi wa sehemu ya kazi, kiongozi wa familia hana option kufukuzafukuza ovyo a bad associate and hiring a better one. Lol.
 
He he he he dearest....tuna changamoto kubwa sana wakati huu, uwajibikaji wa wanaume umepungua ndo maana usukani na taaluma hiyo inaendeshwa na wanawake kwenye baadhi ya ndoa.

ndio mana cku hizi wanawake wengi ndio vichwa vya nyumba, kwanza hii hulka ya mwanaume awe kichwa cha nyumba hata kama ni mwanaume suruali inatakiwa ifutwe kabisa, mwanaume apewe heshima yake kama mume/baba ndani sio mambo ya kichwa cha nyumba ukute kichwa chenyewe mgando m2pu.
 
Hata mimi nataka kujaribu hiyo kitu.

Sema sasa it only pays if that fellow is a real man, kama ni mwanaune suruali au "A boy in a grown man pants"(As I call them) kinda man imekula kwako maana he'll not treat you as a lady, he'll not respect you na hatokua responsible. Mwisho wake ndo kuanza kulalama anakuonea, anakutumia, hakupendi, hakujali, anakunyanyasa n.k

Hivyo kabla ya kumpa usukani hakikisha kua ni dereva anaeielewa vizuri hiyo taaluma, usije ukaishia kuendeshwa kama bajaj za Dasilama.
nikuulize Lizzy,kila siku mnatusema eti kuna wanaume na kuna wavulana,to put it your way unawaita wavulana wanaovaa suruali za wakubwa,sawa ni haki yenu kutusema maana jf hailipiwi Luku,lakini by the same token ina maana kuna wanawake na wasichana (wanaovaa magauni ya wanawake)? kama jibu ni ndio,nini sifa ya kuwa 'mwanamke' na kuwa 'msichana anayevaa gauni'?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom