Kama huna mada ya kuanzisha mkuu unaweza kaa kimya😅😅wakuu habari zenu, nauliza hili swali kwasababu kuna mwanafunzi nilimpa cpu nikakuta kaiweka juu ya ndoo badala ya meza ya mbao
Sasa kama akiwrka Kuna shida gani mnunulie meza , muhimu kusiwe na Maji KWENYE ndoo in case ikiteleza na ipate hewa TU.wakuu habari zenu, nauliza hili swali kwasababu kuna mwanafunzi nilimpa cpu nikakuta kaiweka juu ya ndoo badala ya meza ya mbao