ndoo

Everything Is Everything is the second studio album by American singer Diana Ross, released on November 3, 1970 by Motown Records. After her self-titled debut and its accompanying two singles, including "Ain't No Mountain High Enough," Motown rushed the release of its follow-up. Musicians Deke Richards and Hal Davis were commissioned to produce Everything is Everything as slightly more pop than her soulful debut with Ashford & Simpson and the album included cover versions of contemporary hits by The Beatles and The Carpenters.
The album reached number 42 on the US Billboard 200 and peaked at number five on the US Top R&B/Hip-Hop Albums, selling over 200,000 copies. Lead single "I'm Still Waiting" became a number-one hit in the UK in 1971, while follow-up "Doobedood'ndoobe, Doobedood'ndoobe, Doobedood'ndoo" reached number 12. Ross' rendering of Aretha Franklin's "Call Me (I Love You)" was nominated for a Grammy in 1971 in the Best Female R&B Vocal Performance category. An expanded edition of the album featuring remixes and unreleased outtakes had its first CD release in the US on April 18, 2008. It includes another Beatles cover ("Something") as well as "What Are You Doing the Rest of Your Life?" also recorded by Barbra Streisand.

View More On Wikipedia.org
  1. Barnaba barack

    Nauza ndoo kubwa za 20L, kwa bei ya 4000/=jumla.

    Tunapatikana mbezi mwisho. Contact us: 0624390721
  2. Kaka yake shetani

    Kipindi cha Covid-19 ilipunguza magonjwa ya milipuko kama kipindupindu, red-eyes na typhoid sababu ya kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono

    Ugonjwa wa covid19 ulipoingia tulijaribu kuweka mbinu nyingi kila mtu kujua atajisaidia vipi ili kujiokoa na gonjwa ili sitosahau mpaka malimau yakapanda bei. Serikali ikaweka mpango maalumu wa kila sehemu kuhakikisha kuna ndo ya maji safi na kila sehemu utakapo kwenda kunawa mikono kabla ya...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Shally Raymond: Kupata Ndoo ya Maji Same ni Elfu 4 Hadi Elfu 5

    Mbunge Shally Raymond: Kupata Ndoo ya Maji Same ni Elfu 4 Hadi Elfu 5 Mbunge Shally Raymond amelieleza Bunge kuwa bei ya maji hivi sasa kwa jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro ni kati ya shilingi elfu 4 na shilingi elfu 5 kwa ndoo huku akisema adha ya maji katika jimbo hilo inawakumba...
  4. J

    Tipper moja fuso, linajaa ndoo ngap ndoo ngap za mchanga

    Wandugu kuna jamaa wananikusanyia Mchanga , Sasa kwa wajuzi naomba msaada, fuso moja linajaa ndoo ngp za mchanga? Ili nipate hesabu sahihi. Asante kwa anayejua..!
  5. M

    Nigeria anabeba Ndoo AFCON

    Mapopo wananyanyua ndoo AFCON. Majamaa yana dhiki ya mafanikio
  6. ENICK

    Nauza ndoo za lita 20 nzito nyeupe transparent

    Nauza ndoo za lita 20 nzito nyeupe transparent bei ya jumla 0768686677.
  7. Chachu Ombara

    Binti aua mwanaye kwa kumtumbukiza kwenye ndoo ya maji

    Siku moja tangu Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 19 aitwae Johari Twaha, Mkazi wa mtaa wa Kigamboni Mkoani Iringa akamatwe na Polisi kwa tuhuma za kumtumbukiza kwenye ndoo ya maji ya lita ishirini na kumuua Mtoto wake mwenye umri wa miezi saba, Polisi wamesema Johari aliua Mtoto ili aende Dar...
  8. Petro E. Mselewa

    Mamelodi Sundowns watwaa ndoo nyingine

    Baada ya timu ya wanaume ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kutwaa kombe la African Football League (AFL), jana ilikuwa zamu ya timu ya wanawake ya Mamelodi kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Afika kwa Wanawake. Jana, Mamelodi Women walishinda mabao 3-0 dhidi ya SC Casablanca Women ya Morocco. Ni...
  9. Uzalendo wa Kitanzania

    Je, hiyo ndoo ya kijani pichani ni ya kutunzia mafuta au rangi ya nyumba?

    Wadau hamjamboni nyote? Tazama picha Kwa umakini Kisha ujibu swali? Hivi hiyo ndoo ya blue hapo kwenye picha chini ni kwa ajili ya ikutunzia ya mafuta ya kupikia au ni Kwa ajili ya kuweka rangi ya nyumba? Zawadi nzuri kwa atakayepata swali hilo
  10. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Mariki Ataja Muarobaini wa Kumtua Mama Ndoo Kichwani Katika Ziara ya Chongolo Mkoa wa Katavi

    MBUNGE MARTHA MARIKI ATAJA MUAROBAINI WA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI MKOA WA KATAVI KATIKA ZIARA YA CHONGOLO Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Festo Mariki ameshiriki katika ziara ya Katibu Mkuu CCM, Ndugu Daniel Chongolo katika Mkoa wa Katavi iliyolenga kukagua utekelezaji wa...
  11. A

    Kwa hili pira Gamondi, hakuna shaka kwa Yanga kubeba ndoo ya CAF CL msimu huu

    Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani. Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya...
  12. Uhakika Bro

    Mafuta ya kupaka, kindoo hadi pipa zima

    Wakuu, watu wa sido na wajasiriamali salaaam. Nina uhitaji na mafuta ya kupaka ndoo moja kwanza lita kumi hadi lita ishirini kwa ajili ya project. Mambo yakikaa sawa nitaagiza hadi mapipa kwa mapipa.. Mafuta ninayohitaji ni cosmetic grade. Yale mtu anaweza changanya na viinilishe au dawa...
Back
Top Bottom