African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 781
- 1,356
Nimekuwa nikijiuliza, hivi kuna utofauti gani kati ya Elimu na Ujuzi. Elimu ni nini? Ujuzi ni nini?
Je, wanaoenda shuleni na vyuoni wanatafuta elimu au ujuzi. Kama wanatafuta elimu, je, elimu wanaitafutaje? Kwa kusoma vitabu na kukariri misamiati?
Je, Daktari, Engineer, fundi seremala, Mvuvi, ana elimu au ana ujuzi?
Je, mtu aliyejifunza fani fulani inayofundishwa chuo bila yeye kwenda chuo na akaweza kuifanya, amepata elimu au amepata ujuzi? Na aliyeenda chuo kusomea fani hiyo hiyo tuseme amepata nini?
Msomi ni nani? Anayejua nadharia au anayejua vitendo? Yaani nachanganyikiwa na sijapata majibu!
Je, wanaoenda shuleni na vyuoni wanatafuta elimu au ujuzi. Kama wanatafuta elimu, je, elimu wanaitafutaje? Kwa kusoma vitabu na kukariri misamiati?
Je, Daktari, Engineer, fundi seremala, Mvuvi, ana elimu au ana ujuzi?
Je, mtu aliyejifunza fani fulani inayofundishwa chuo bila yeye kwenda chuo na akaweza kuifanya, amepata elimu au amepata ujuzi? Na aliyeenda chuo kusomea fani hiyo hiyo tuseme amepata nini?
Msomi ni nani? Anayejua nadharia au anayejua vitendo? Yaani nachanganyikiwa na sijapata majibu!