UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Si ni kwa sababu corona imepewa kiki ila mbona hutumii muda humu kuzungumzia hayo magonjwa mengine hata malaria ambayo nayo inaondoa watu sana tu? Ndio maana nakwambia kama si corona kupewa kiki basi usingekuja kupiga kelele humu za kuhusu corona.sipotezi muda