Kuna siku Makonda atamvua nguo Rais Samia

Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Kwakuwa bado hakijatokea mwache aendelee na kazi Yake.
 
Huyo kijana ni mwanamikakati mahiri, ni aseti ya CCM hakuna yeyote wa kumfanya chochote. Tena ni aina adimu ya marais wanaotakiwa nchi hii. Kijana hacheki na nyani shambani. Ingekuwa si katiba ya CCM angeteuliwa uchaguzi mkuu ujao apeperushe bendera ya CCM na hatimaye achaguliwe kuwa rais wa nchi hii. Atawanyoosha wengi, ni Magufuli toleo la pili
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Amvue mara ngapi mbona tayari ameishamvua yupo uchi wa mnyama au aendelee zaidi ya kuvua?
 
Asipodhibitiwa kuna siku Makonda atafanya tukio au ataropoka kitu ambacho kitamvunjia heshima Rais wetu jjambo ambalo litamdhalilisha Rais na kujutia uamuzi wake wa kumrudisha mjini mtu asiye na staha
Mbona mara kibao tu katoa matamshi yenye ukakasi kiasi inaonekana kuna siri kubwa kati yake na mamlaka ya uteuzi.
 
Back
Top Bottom