Tabora Ndiko kuliko na Siri ya madaraka ya JK Rostam Aziz wanaaenda kumfagilia Rostam Aziz.Nami nashindwa kuelewa kuna wakati nashindwa kuelewa hivi hawa viongozi wetu wanakitu kinaitwa ratiba au wanakurupuka kwa sababu hata hiyo ziara ya waziri mkuu Pinda inaonekana kama vile haikuandaliwa tizama hapaHivi karibuni mh waziri Mkuu alikua na ziara mkoani Tabora ya zaidi ya wiki na katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, Mh. Raisi nae yuko kwenye ziara ya kikazi mkoani humo Tabora. Swali najiuliza kulikoni viongozi wa kitaifa kutoka chama hicho hicho kutembelea mkoa mmoja kikazi kwa kipindi kifupi hivyo?
Kwani raisi asingeweza kumwagiza Pinda kufanya hayo anayoyafanya yeye sasa na kuokoa gharama, au ndio wameagizwa na RA wakamsafishe kiaina huko??
Nimeipata hii ya Pinda hata jukwaa hakuna, - dalili za kukurupuka bila maandalizi.Tabora Ndiko kuliko na Siri ya madaraka ya JK Rostam Aziz wanaaenda kumfagilia Rostam Aziz.Nami nashindwa kuelewa kuna wakati nashindwa kuelewa hivi hawa viongozi wetu wanakitu kinaitwa ratiba au wanakurupuka kwa sababu hata hiyo ziara ya waziri mkuu Pinda inaonekana kama vile haikuandaliwa tizama hapa
http://haki-hakingowi.blogspot.com/2010/02/ziara-ya-waziri-mkuu-mkoani-tabora.html#comments nashindwa kuelewa
Inaonekana RA ametoa order kuwa jina likasafishwe na kuanzia mkuu wa nchi mpaka wasaidizi wake. Sijaona project ya maana waliyoenda kukagua kwa maendeleo ya wanaTabora zaidi ya kutoa ahadi za kisanii.
Huoni kimeshikiliwa na kikiteguka basi safety net ipoNimeipata hii ya Pinda hata jukwaa hakuna, - dalili za kukurupuka bila maandalizi.
Kiti kikiteguka itakuaje hapo?
Nimeipata hii ya Pinda hata jukwaa hakuna, - dalili za kukurupuka bila maandalizi.
Kiti kikiteguka itakuaje hapo?
Ziara ya Rais Jakaya Kikwete kwenye kata ambayo haijawahi kutembelewa na rais yeyote tangu Tanzania ijitawale, juzi ilikuwa ngumu baada ya baadhi ya magari kukwama kwa muda likiwamo na la Mama Salma.
Hali hiyo iliyotokea juzi ilitokana na ubovu wa barabara ambayo ililazimu trekta kutumika kuyakwamua.
Adha hiyo iliyapata magari hayo ambayo yanatumiwa na watu waliopo kwenye ziara ya Rais Kikwete mkoani Tabora.
Rais alikuwa akiendelea na ziara yake akitokea Tabora Mjini kwenda kata ya Kitunda ambayo haijawahi kutembelewa na rais yeyote tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961.
Kutokana na ubovu wa barabara, helikopta ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ililazimika kuitwa kutoka Tabora mjini kwa ajili ya kwenda kumchukua rais kumpeleka Wilaya ya Sikonge.
Baada ya Rais kumaliza kuhutubia wananchi katika kata hiyo, helikopta hiyo ilitua na kumchukua tena kumrudisha Sikonge.
Aidha, baadhi ya magari yaliyokuwa katika msafara huo nayo yalizama katika madimbwi na kulazimika kuvutwa na trekta.
Akizungumza na wananchi wa kata hiyo ya Kitunda, Rais alifurahishwa na maendeleo ya elimu na kisha akatoa Sh. milioni sita kwa ajili ya ujenzi wa shule katika kata tatu za tarafa ya Kiwelu wilayani Sikonge.
bana mkubwa, tabora kuna mambo mawili, cha kwanza ni uchawi wanaenda kutambika kwa kina fundikila huko, cha pili wanategemea kuiondoa tabora ngome ya lipumba, wanajua tabora watu wengi wanaipenda cuf.