GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,646
- 10,859
Aisee!
BUt ni kitu ambacho kipo si hadithiWabongo wengi wanapenda sana conspiracy theories.
Ukiwapa picha tu watakupa hadithi mia kidogo.
Sasa kama ni hidden place nani atakuwa na taarifa zaidi ya hao wanaolificha? Itoshe kusema tu kwamba pengine ndo lango la kuingilia kuzimuWahusika wanakwambia hawajawahi kuona ndege wala helcopter kwenye eneo hilo iwe kwa kutua ama kupita karibu
Kwa hiyo kusema kuna watu sijui wanabeba wanyama ndani ya eneo hilo ama wanabeba madini ndani ya eneo hlo wenyeji wenyewe wanakataa.
Sababu ni eneo kubwa sana lenye ulinzi mkali mno na hakuna uwanja wa ndege wala barabara za magari zinazoingia eneo hilo.
Na baadhi ya waliofanya tafiti kuhusu eneo hilo wanakwambia hata kwenye google map au ukitumia satelite huna utakachokiona inshort ni hidden place
Kitu gani?BUt ni kitu ambacho kipo si hadithi
kwahiyo mzigo upo wa kutosha eneo hilo?Kuna shehena ya hifadhi ya madini ambayo unaweza kuokota Kama mawe ya kawaida
Wanaficha wakubwa ndio wanafika huko ndio maana Kikwete alienda kujenga dabaga hotel uko Serengeti.
Nyerere alisema yasichimbwe mpaka watu wasome ndio waje wachimbe
Ila utawala wa Mkapa na Kikwete waliiba Sana haya madini na kutorosha pamoja na viungo vya wanyama mbali mbali!!
Hata Sasa kazi bado inaendelea
Dollar Trillion 980?? Upo serious kweli ?Dollar Trilion 980.
Ndege leo hauna story mpya?Kwa kuwa watu wametoa majibu kadha wa kadha ngoja Mimi nimpe jawabu mtoa mada.
Iko hivi; PALE NDIPO MODINYO WA JF WANAKOKAA NA KUFANYIA KAZI. HATA BICHWA KOMWE WALIMPIGA BANI WAKIWA KATIKA ENEO LILE.
Cc DIVISHENI FOO mzabzab Mbaga Jr Binti Sayunii
Leo Sina, ngoja nisubiri hadi kesho labda nitakumbana na changamoto nitakayoileta.Ndege leo hauna story mpya?
Nimekutag huko uje, tujadili😅Leo Sina, ngoja nisubiri hadi kesho labda nitakumbana na changamoto nitakayoileta.
Nakuja nakuja.Nimekutag huko uje, tujadili😅
Ila hii story niliisikia miaka mingi sana iliyopitaUnaambiwa ukifika tu hapo kuna kibao cha "karibu Oman"
Umesema Hawa warusi wapo wapiunashangaa ya serengeti wakati warusi wanaifumua nyerere national park upande wa namtumbo ruvuma huko hovyo hovyo