baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 1,107
- 1,135
Chadema pia hawajaliona? Basi Tanzania yangu iyendelee kuwa tulivu maana hayatuhusu!
Vizuri mzee tupe link inayosema tulikatazwa kuvaa viatu. Aliyofanya HM sultan Qaboos nyinyi hamkuyafanya tangu 1961Ila hii story niliisikia miaka mingi sana iliyopita
Kipindi waomani walikuwa wanatembea Peku kwa kukatazwa na Qaboos kuvaa viatu
Oman hiyo ilikuwa historia tu na haifutiki maana mpaka Tz walikuwa wanatembea pekuVizuri mzee tupe link inayosema tulikatazwa kuvaa viatu. Aliyofanya HM sultan Qaboos nyinyi hamkuyafanya tangu 1961
Come to oman and see for your self
Huko ndiko wanatunzwa kina Ben Saanane et alMambo vipi wadau,
Niende moja kwa moja kwenye swali ambalo huwa najiuliza sana lakini mpaka sasa sijapata majibu ya kueleweka au ya moja kwa moja.
Huenda kuna maeneo mengi sana duniani ambayo mpaka leo ambayo hayaruhusiwi kabisa kuingia ama kuyasogelea duniani unayoyajua kama area 51 nk.
Je unafahamu kuwa kuna eneo ndani ya Tanzania katika hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo hakuna mtu yoyote anayeruhusiwa kuingia ama kusogelea?
Ni takribani mwezi toka nitembelee mbuga hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yangu (baada ya rafiki zangu kutoka Norway kutaka niwapeleke)
Nilijitahidi sana kutaka kujua kuhusu eneo hilo lakini nilichoambulia ni kufikishwa kwenye fensi ya kwanza tu ya eneo husika ambayo ni restricted kusogea zaidi ya hapo na hakuna kiunzi kimoja.
Kwenye kutafiti kwa ma guider wengi nao walikuwa watupu kila unae muuliza anakupa story tofauti je kuna ambae anajua katikati ya hifadhi ya taifa ya serengeti kuna nini atujulishe huenda humu ikawa rahisi sababu hatujuani?
Maana ni eneo ambalo hata kwenye google map limefutwa na kuna ulinzi mkali mno
Reason ya kuuliza na kutaka kujua ni kupenda kujifunza mambo mampya na si vinginevyo
Natania mkuu...Mimi kende zangu haziwez kuhimili plaizTutashukuru kwa manufaa ya wengi
Endelea kukua utajifunzaHaka kapicha kanaweza kutumika pia kwenye hii comment yako.
Hapa unadanganya, vyuo vya inteligence ni Mbweni na Zanzibar tu, ogopa matapeli.Jana jioni nmekutana na jamaa yangu ambaye tulipotezana kwa muda fulani kama miaka 2 alikuwa anafanya kazi huko naye nilipomgusia swala hilo alinijibu haya japo alikiri kujua eneo helo lakini miaka yake yote 10 ya kazi hajawahi kuingia.
1. Kuna hifadhi nyingine kubwa ipo ambayo hutunzwa wanyama adimu kutoweka kama faru weusi na viumbe wengine na maeneo hayo yanaulinzi huo mkali na yameondolewa kwenye ramani sababu ya kuzuia ujangili na uvamizi.
2.uwepo wa uhifadhi mkubwa wa madini ambayo nchi kama nchi walikubaliana kutokuyachimba au kuuza kwa yeyote kwa kipindi cha miaka fulani.
3. Kuwepo kwa kambi za siri za ufundishaji wa mafunzo ya intelligence katika nchi.
All in all nkayakubali japo hakunijibu kiurefu akapokea simu flani na kujifanya yuko bussy na kutoweka kwenye mazngira yasiyoeleweka.
Hapo ndo nkapata uhakika wa atakayenijibu swali langu ni mtu aliyevaa mask au anayeplay as anonymous only
Karibu wakati wowote mzeeOman hiyo ilikuwa historia tu na haifutiki maana mpaka Tz walikuwa wanatembea peku
Ila yamepita kwani leo Oman ni tofauti na ile
Mwaka 1987 Nilikuwa Oman na nilipita sehemu kadhaa ingawa ilikuwa bado sana na majembe yalikuwepo
Ila miaka ya hivi karibuni nimefika pia na kujionea mabadiliko
Kweli mmepiga hatua sana, kwa hiyo Airport tu ni balaa
Mji wa Muscat ni mzuri sana nimeuona na kutenbea
Nimependa majumba meupe, unaweza kuniambia kwanini mmeambiwa mpake rangi nyeupe?
Mwaka huu pia nakuja
Ila kuna barabara moja Ina mteremko mzuri sana katikati ya milima au nasema uongo?
Mko vizuri kwenye Omanization safi sana
Rangi nyeupe nzuri watalaam wanasema inapunguza jotoKaribu wakati wowote mzee
Hebu wewe mwenye vistory vya UDSM tupe vistori vyako vya kisomiHapa unadanganya, vyuo vya inteligence ni Mbweni na Zanzibar tu, ogopa matapeli.
Hiyo Ngorongoro crater ina mamlaka yake kabisa na ni urithi wa dunia haipo chini ya Tanapa.
Unaungaunga tu vistory vya kijiweni.
Shukran sanaKaribu wakati wowote mzee
Wewe ndo ujifunze, uachane na story za vijiwe vya gahwa.Endelea kukua utajifunza
Dunia pana hii endelea kukuaWewe ndo ujifunze, uachane na story za vijiwe vya gahwa.
Ninyi ndio huwa mnatafuta mali za mjerumani, siyo??
Waropokaji Hawajui Chochote Akhui Achana Nao Usipoteze Muda WakoVizuri mzee tupe link inayosema tulikatazwa kuvaa viatu. Aliyofanya HM sultan Qaboos nyinyi hamkuyafanya tangu 1961
Come to oman and see for your self
Usikue pasi na maarifa mkuu, nakuasa ujifunze usikue kindezi.Dunia pana hii endelea kukua