Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Mkuu hilo eneo linaitwaje? tufungue code chapchap.
 
Kama kuna uwepo wa dhahabu inatosha
PIC23.png
 
unaijua project ya uvunaji uranium tanzania iko wap....mzee wa awamu flani alienda hadi kuzindua mradi....porojo zikawa nyingi sana ooh...ni sehemu ndogo tuu...ila ukweli ni km za kutosha ...wakubwa wameshagawana vitalu huku watu wanataka kuchimba uranium ndani ya hifadhi kabisa.
Kikwete kajenga na hotel kabisa huko
 
We nae mnafiki tu, umeacha ku deal na guide na wenyeji wa hapo ama huko unakuja kusumbua watu humu..Sasa halafu mbona kama unawapangia watu Cha kujibu na ni kama una majibu tayari sema unapima upepo watu wanajua nini....
Guide anaweza kuwa anaingia hifadhini na aapangiwa sehemu za kufika, na asijue kwa nini hafiki eneo flani
 
Siyo kamba kweli hii!!

Nimefika Seronera mara kadhaa toka 2005 na sijawahi sikia hii kitu.

Picha za hiyo fensi uliyoiona wewe ipo wapi?
Seronera ndiyo iko katikati ya hifadhi ya serengeti? Maana yenyewe iko mwishoni kuelekea kuimaliza hifadhi ya serengeti upande wa arusha
 
Seronera ndiyo iko katikati ya hifadhi ya serengeti? Maana yenyewe iko mwishoni kuelekea kuimaliza hifadhi ya serengeti upande wa arusha
Tumia akili!

Kama ipo mwishoni maana yake ninapita katikati hadi kuifikia.

Au wewe unajua nafika hapo nikitokea wapi?
 
Tumia akili!

Kama ipo mwishoni maana yake ninapita katikati hadi kuifikia.

Au wewe unajua nafika hapo nikitokea wapi?
Wewe ndo hujatumia akili maana umesema umefika seronera mara kadhaa hujawai sikia hiyo kitu, ndo nikakuuliza kwani seronera ndio katikati? Na fensi kwani alisema iko seronera? Ulikurupuka tu kwasababu unapitaga seronera.
 
Mambo vipi wadau,

Niende moja kwa moja kwenye swali ambalo huwa najiuliza sana lakini mpaka sasa sijapata majibu ya kueleweka au ya moja kwa moja.

Huenda kuna maeneo mengi sana duniani ambayo mpaka leo ambayo hayaruhusiwi kabisa kuingia ama kuyasogelea duniani unayoyajua kama area 51 nk.

Je unafahamu kuwa kuna eneo ndani ya Tanzania katika hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo hakuna mtu yoyote anayeruhusiwa kuingia ama kusogelea?

Ni takribani mwezi toka nitembelee mbuga hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yangu (baada ya rafiki zangu kutoka Norway kutaka niwapeleke)

Nilijitahidi sana kutaka kujua kuhusu eneo hilo lakini nilichoambulia ni kufikishwa kwenye fensi ya kwanza tu ya eneo husika ambayo ni restricted kusogea zaidi ya hapo na hakuna kiunzi kimoja.

Kwenye kutafiti kwa ma guider wengi nao walikuwa watupu kila unae muuliza anakupa story tofauti je kuna ambae anajua katikati ya hifadhi ya taifa ya serengeti kuna nini atujulishe huenda humu ikawa rahisi sababu hatujuani?

Maana ni eneo ambalo hata kwenye google map limefutwa na kuna ulinzi mkali mno

Reason ya kuuliza na kutaka kujua ni kupenda kujifunza mambo mampya na si vinginevyo
Kama ma guider hawakuwa na majibu hapa jukwaani hutaambulia kitu.Majibu wanayo Simba, Chui au tembo.
 
Ukiona mbuga zote za taifa, vijiji vyote vya ujamaa,Kambi zote za jeshi,shule kongwe za zamani, makanisa makongwe ya wakatoliki chini Pana hazina ya nchi.
Madini,malikale,nk.
Jiulize kwann wajanja wanajenga hotel za bei ghali mbugani mswahili ufiki ni only members tena toka nje ndo wateja then unakuta kuna hotel za fukweni bei kubwa mswahili hamudu.
Unazijua underground submarine hii Dunia ina michezo mingi sana,acha tu.
Haka kapicha kanaweza kutumika pia kwenye hii comment yako.
 

Attachments

  • 1749658907229.png
    1749658907229.png
    903.4 KB · Views: 18
Mambo vipi wadau,

Niende moja kwa moja kwenye swali ambalo huwa najiuliza sana lakini mpaka sasa sijapata majibu ya kueleweka au ya moja kwa moja.

Huenda kuna maeneo mengi sana duniani ambayo mpaka leo ambayo hayaruhusiwi kabisa kuingia ama kuyasogelea duniani unayoyajua kama area 51 nk.

Je unafahamu kuwa kuna eneo ndani ya Tanzania katika hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo hakuna mtu yoyote anayeruhusiwa kuingia ama kusogelea?

Ni takribani mwezi toka nitembelee mbuga hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yangu (baada ya rafiki zangu kutoka Norway kutaka niwapeleke)

Nilijitahidi sana kutaka kujua kuhusu eneo hilo lakini nilichoambulia ni kufikishwa kwenye fensi ya kwanza tu ya eneo husika ambayo ni restricted kusogea zaidi ya hapo na hakuna kiunzi kimoja.

Kwenye kutafiti kwa ma guider wengi nao walikuwa watupu kila unae muuliza anakupa story tofauti je kuna ambae anajua katikati ya hifadhi ya taifa ya serengeti kuna nini atujulishe huenda humu ikawa rahisi sababu hatujuani?

Maana ni eneo ambalo hata kwenye google map limefutwa na kuna ulinzi mkali mno

Reason ya kuuliza na kutaka kujua ni kupenda kujifunza mambo mampya na si vinginevyo
Jaribu kuingia google maps au earth ucheki aerial view uone kuna nini.

Kama unakumbuka maeneo uliyopita au karibu na eneo hilo husika.
 
Jana jioni nmekutana na jamaa yangu ambaye tulipotezana kwa muda fulani kama miaka 2 alikuwa anafanya kazi huko naye nilipomgusia swala hilo alinijibu haya japo alikiri kujua eneo helo lakini miaka yake yote 10 ya kazi hajawahi kuingia.

1. Kuna hifadhi nyingine kubwa ipo ambayo hutunzwa wanyama adimu kutoweka kama faru weusi na viumbe wengine na maeneo hayo yanaulinzi huo mkali na yameondolewa kwenye ramani sababu ya kuzuia ujangili na uvamizi.

2.uwepo wa uhifadhi mkubwa wa madini ambayo nchi kama nchi walikubaliana kutokuyachimba au kuuza kwa yeyote kwa kipindi cha miaka fulani.

3. Kuwepo kwa kambi za siri za ufundishaji wa mafunzo ya intelligence katika nchi.

All in all nkayakubali japo hakunijibu kiurefu akapokea simu flani na kujifanya yuko bussy na kutoweka kwenye mazngira yasiyoeleweka.

Hapo ndo nkapata uhakika wa atakayenijibu swali langu ni mtu aliyevaa mask au anayeplay as anonymous only
 
Back
Top Bottom