Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Unamaanisha pale walipouziwa waarabu kitalu Cha kichimba madini japo Sheria za uhifadhi zinakataza lakini kizimkazi kalazimisha? Ndiyo unauliza pale?
 
Kwa kuweka sawa ni kwamba hili eneo lipo na nmelisikia toka enzi za raisi wa awamu ya tatu benjamin mkapa hvyo mnaoweka ajenga nyingine sijui za CCM au Chadema ama kumhusisha mama mnakhwa mnatoka nje ya mstari na kutaka kuzushia watu kwa malengo yenu binafsi.

Reason ya kuuliza ni kutaka kujua/kujifunza sababu kutengwa kwa eneo hilo ina onyesha ni ni for national security reason ambazo mpaka leo bado imekuwa siri.

Inshort ni eneo linalowezekana kuwa linalindwa kuliko eneo lolote Tanzania si mzungu wala mwarabu ama mswahili anaruhusuiwa kutia pua yake huko.
Yaani eneo hilo linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama wa taifa, na lina ulinzi mkali kuliko maeneo mengine yote nchini Tanzania? Mimi nadhani hatujui hata kile tunachokilinda, kwa kweli.
 
Kuna shehena ya hifadhi ya madini ambayo unaweza kuokota Kama mawe ya kawaida

Wanaficha wakubwa ndio wanafika huko ndio maana Kikwete alienda kujenga dabaga hotel uko Serengeti.

Nyerere alisema yasichimbwe mpaka watu wasome ndio waje wachimbe

Ila utawala wa Mkapa na Kikwete waliiba Sana haya madini na kutorosha pamoja na viungo vya wanyama mbali mbali!!

Hata Sasa kazi bado inaendelea
1749658907229.png
 
Ukiona mbuga zote za taifa, vijiji vyote vya ujamaa,Kambi zote za jeshi,shule kongwe za zamani, makanisa makongwe ya wakatoliki chini Pana hazina ya nchi.
Madini,malikale,nk.
Jiulize kwann wajanja wanajenga hotel za bei ghali mbugani mswahili ufiki ni only members tena toka nje ndo wateja then unakuta kuna hotel za fukweni bei kubwa mswahili hamudu.
Unazijua underground submarine hii Dunia ina michezo mingi sana,acha tu.
 
Mambo vipi wadau,

Niende moja kwa moja kwenye swali ambalo huwa najiuliza sana lakini mpaka sasa sijapata majibu ya kueleweka au ya moja kwa moja.

Huenda kuna maeneo mengi sana duniani ambayo mpaka leo ambayo hayaruhusiwi kabisa kuingia ama kuyasogelea duniani unayoyajua kama area 51 nk.

Je unafahamu kuwa kuna eneo ndani ya Tanzania katika hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo hakuna mtu yoyote anayeruhusiwa kuingia ama kusogelea?

Ni takribani mwezi toka nitembelee mbuga hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yangu (baada ya rafiki zangu kutoka Norway kutaka niwapeleke)

Nilijitahidi sana kutaka kujua kuhusu eneo hilo lakini nilichoambulia ni kufikishwa kwenye fensi ya kwanza tu ya eneo husika ambayo ni restricted kusogea zaidi ya hapo na hakuna kiunzi kimoja.

Kwenye kutafiti kwa ma guider wengi nao walikuwa watupu kila unae muuliza anakupa story tofauti je kuna ambae anajua katikati ya hifadhi ya taifa ya serengeti kuna nini atujulishe huenda humu ikawa rahisi sababu hatujuani?

Maana ni eneo ambalo hata kwenye google map limefutwa na kuna ulinzi mkali mno

Reason ya kuuliza na kutaka kujua ni kupenda kujifunza mambo mampya na si vinginevyo
kuna nyara za sirikali; Rejea kafilm ka sa100 ka kuhamasisha utarii. Sasa nisiulizwe swali jingine sitajibu kama hao uliowauliza.
 
Mambo vipi wadau,

Niende moja kwa moja kwenye swali ambalo huwa najiuliza sana lakini mpaka sasa sijapata majibu ya kueleweka au ya moja kwa moja.

Huenda kuna maeneo mengi sana duniani ambayo mpaka leo ambayo hayaruhusiwi kabisa kuingia ama kuyasogelea duniani unayoyajua kama area 51 nk.

Je unafahamu kuwa kuna eneo ndani ya Tanzania katika hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo hakuna mtu yoyote anayeruhusiwa kuingia ama kusogelea?

Ni takribani mwezi toka nitembelee mbuga hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yangu (baada ya rafiki zangu kutoka Norway kutaka niwapeleke)

Nilijitahidi sana kutaka kujua kuhusu eneo hilo lakini nilichoambulia ni kufikishwa kwenye fensi ya kwanza tu ya eneo husika ambayo ni restricted kusogea zaidi ya hapo na hakuna kiunzi kimoja.

Kwenye kutafiti kwa ma guider wengi nao walikuwa watupu kila unae muuliza anakupa story tofauti je kuna ambae anajua katikati ya hifadhi ya taifa ya serengeti kuna nini atujulishe huenda humu ikawa rahisi sababu hatujuani?

Maana ni eneo ambalo hata kwenye google map limefutwa na kuna ulinzi mkali mno

Reason ya kuuliza na kutaka kujua ni kupenda kujifunza mambo mampya na si vinginevyo
unashangaa ya serengeti wakati warusi wanaifumua nyerere national park upande wa namtumbo ruvuma huko hovyo hovyo
 
Ilo eneo lipo na lipo eneo la kaskazin mwa mbuga.
Eneo ilo sio Tanzania kuna Taifa kubwa la wavaa Kobasi wamelinunua kwa Dollar Trilion 980.
Kuna uwanja wa ndege mkubwa sana na ndege apo zinatua zile zisizoonekana kwa macho zinabeba Tembo,Twiga,kasongo na Nyati zinapeleka kwa wavaa kobasi
 
Ilo eneo lipo na lipo eneo la kaskazin mwa mbuga.
Eneo ilo sio Tanzania kuna Taifa kubwa la wavaa Kobasi wamelinunua kwa Dollar Trilion 980.
Kuna uwanja wa ndege mkubwa sana na ndege apo zinatua zile zisizoonekana kwa macho zinabeba Tembo,Twiga,kasongo na Nyati zinapeleka kwa wavaa kobasi
Wahusika wanakwambia hawajawahi kuona ndege wala helcopter kwenye eneo hilo iwe kwa kutua ama kupita karibu

Kwa hiyo kusema kuna watu sijui wanabeba wanyama ndani ya eneo hilo ama wanabeba madini ndani ya eneo hlo wenyeji wenyewe wanakataa.

Sababu ni eneo kubwa sana lenye ulinzi mkali mno na hakuna uwanja wa ndege wala barabara za magari zinazoingia eneo hilo.

Na baadhi ya waliofanya tafiti kuhusu eneo hilo wanakwambia hata kwenye google map au ukitumia satelite huna utakachokiona inshort ni hidden place
 
Back
Top Bottom