Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

Kuna uzi ulishawahi kuletwa humu kuhusiana na eneo hilo, kwa mujibu wa mleta mada alisema eneo hilo kuna hazina kubwa sana ya madini imegunduliwa (dhahabu au almasi) sikumbuki vizuri. Yanasafirishwa kwenda nje ya nchi. Tanzania hatuna chetu hapo pashauzwa kitambo sana.

Hiyo ni kwamujibu wa mleta mada
😭😭😭
 
Kuna uzi ulishawahi kuletwa humu kuhusiana na eneo hilo, kwa mujibu wa mleta mada alisema eneo hilo kuna hazina kubwa sana ya madini imegunduliwa (dhahabu au almasi) sikumbuki vizuri. Yanasafirishwa kwenda nje ya nchi. Tanzania hatuna chetu hapo pashauzwa kitambo sana.

Hiyo ni kwamujibu wa mleta mada
Wameuza hilo eneo enzi hizi za mama?

Au ndiyo kipindi kile mama alikuwa anatoa mipasho kama kawaida yake kuhusu madini ya Serengeti pafukuliwe bila kuzingatia ecology na Serengeti ni urithi wa Dunia?

Ndiyo hapo?
 
Wameuza hilo eneo enzi hizi za mama?

Au ndiyo kipindi kile mama alikuwa anatoa mipasho kama kawaida yake kuhusu madini ya Serengeti pafukuliwe bila kuzingatia ecology na Serengeti ni urithi wa Dunia?

Ndiyo hapo?
Kwenye kipindi cha mama ndugu, kwakifupi hii ndio awamu mbaya kuliko awamu zote tulizowahi kupita kama nchi.
 
Kuna uzi ulishawahi kuletwa humu kuhusiana na eneo hilo, kwa mujibu wa mleta mada alisema eneo hilo kuna hazina kubwa sana ya madini imegunduliwa (dhahabu au almasi) sikumbuki vizuri. Yanasafirishwa kwenda nje ya nchi. Tanzania hatuna chetu hapo pashauzwa kitambo sana.

Hiyo ni kwamujibu wa mleta mada
Dah!!! Kmmke walai

Kwa nchi hii wala sishangai HUENDA ikawa kweli.
 
Kwa kuweka sawa ni kwamba hili eneo lipo na nmelisikia toka enzi za raisi wa awamu ya tatu benjamin mkapa hvyo mnaoweka ajenga nyingine sijui za CCM au Chadema ama kumhusisha mama mnakhwa mnatoka nje ya mstari na kutaka kuzushia watu kwa malengo yenu binafsi.

Reason ya kuuliza ni kutaka kujua/kujifunza sababu kutengwa kwa eneo hilo ina onyesha ni ni for national security reason ambazo mpaka leo bado imekuwa siri.

Inshort ni eneo linalowezekana kuwa linalindwa kuliko eneo lolote Tanzania si mzungu wala mwarabu ama mswahili anaruhusuiwa kutia pua yake huko.
 
Kwa kuweka sawa ni kwamba hili eneo lipo na nmelisikia toka enzi za raisi wa awamu ya tatu benjamin mkapa hvyo mnaoweka ajenga nyingine sijui za CCM au Chadema ama kumhusisha mama mnakhwa mnatoka nje ya mstari na kutaka kuzushia watu kwa malengo yenu binafsi.

Reason ya kuuliza ni kutaka kujua/kujifunza sababu kutengwa kwa eneo hilo ina onyesha ni ni for national security reason ambazo mpaka leo bado imekuwa siri.

Inshort ni eneo linalowezekana kuwa linalindwa kuliko eneo lolote Tanzania si mzungu wala mwarabu ama mswahili anaruhusuiwa kutia pua yake huko.
We nae mnafiki tu, umeacha ku deal na guide na wenyeji wa hapo ama huko unakuja kusumbua watu humu..Sasa halafu mbona kama unawapangia watu Cha kujibu na ni kama una majibu tayari sema unapima upepo watu wanajua nini....
 
Siyo kamba kweli hii!!

Nimefika Seronera mara kadhaa toka 2005 na sijawahi sikia hii kitu.

Picha za hiyo fensi uliyoiona wewe ipo wapi?
 
Siyo kamba kweli hii!!

Nimefika Seronera mara kadhaa toka 2005 na sijawahi sikia hii kitu.

Picha za hiyo fensi uliyoiona wewe ipo wapi?
Nenda tena kaulize kwenda sehemu si kujua kila kitu kuhusiana na hyo sehemu
 
huwezi jua bhana pengine wajerumani waliacha masanduku ya madhahabu na almasi hapo.. Anyway kukisia tu
 
Back
Top Bottom