Kuna nini kati ya Mwigulu na Zitto?

Kuna nini kati ya Mwigulu na Zitto?

Ukiona hivyo jua wanahifadhiana siri zao za mitaani, siku mmoja akimuumbua mwenzie tutasikia mengi.
 
Sijui ni wapi nilikosema "watu wanaamini" kuwa CHADEMA kita-loose focus?

Umesema mwenyewe watu wanadhani CHADEMA kita-loose focus, sasa sijui kwa nini unajishuku hivyo? manake mleta mada hii anajaribu kuonesha kuwa ZITTO ni rafiki wa CCM na kwa maana hiyo unajipa maumaini kuwa hata akiondoka hamuwezi ku-loose focus.
 
Mwenyekiti wa ndiye aliyezindua kanda zote na kufanya mikutano

Mikutano ya M4C pia imefanyika ndani ya Mikoa ya kanda ya Magharibi.Acha upotoshaji
Utambue uwepo wa Zitto ndani ya chadema kama kiongozi wako
 
Kitendawili, kuna KADA mmoja wa CHADEMA ni ANT-ZITTO ile mbaya, akiona mada yoyote ile inayotaka kumpaisha ZITTO lazima akurupuke kutoka aliko. Ni nani huyo?
 
soma uzi wangu mpk mwisho then rudi tena hapa,maana tunaongelea watu wawili,dr slaa kapita humu kama mfano but our topic ni mwigulu na zitto,tusaidiane kujijenga kifkra ili tutoke hapa tulipo
kwani siku mwigulu anaichanachana bajeti ya upinzani bungeni wewe ulikua wapi?
 
Umesema mwenyewe watu wanadhani CHADEMA kita-loose focus, sasa sijui kwa nini unajishuku hivyo? manake mleta mada hii anajaribu kuonesha kuwa ZITTO ni rafiki wa CCM na kwa maana hiyo unajipa maumaini kuwa hata akiondoka hamuwezi ku-loose focus.

Ninukuu kwa usahihi nilichosema.Please,Usinilishe maneno.Rejea post yangu
 
Babu ni malaya, Mwigulu ni kahaba, chuki zoa haikosi ni juu ya kunyang'anyana mautamu
 
Umesema mwenyewe watu wanadhani CHADEMA kita-loose focus, sasa sijui kwa nini unajishuku hivyo? manake mleta mada hii anajaribu kuonesha kuwa ZITTO ni rafiki wa CCM na kwa maana hiyo unajipa maumaini kuwa hata akiondoka hamuwezi ku-loose focus.

Mbona unanilisha maneno while na mie niko hapa hapa?
 
kwani siku mwigulu anaichanachana bajeti ya upinzani bungeni wewe ulikua wapi?

Na hicho ndicho kilichompa hiyo nafasi ya unaibu katibu mkuu wa ccm,je unafurahishwa na siasa anazozifanya?
 
Mwenyekiti wa ndiye aliyezindua kanda zote na kufanya mikutano

Mikutano ya M4C pia imefanyika ndani ya Mikoa ya kanda ya Magharibi.Acha upotoshaji

Uzinduzi wa Kanda na M4C kipi kilianza? Kwa nini ZITTO Kabwe anafanya mikutano peke yake tofauti na desturi ya M4C ya makamanda wengi kuongozana? Kwenye picha mikutano ya ZITTO sioni nembo za M4C.
 
Zitto ni mwanasiasa mwerevu mno, mweny kuzingatia utaratibu na itifaki pekee, na pia ana uzoefu wa kutosha ktk uongoz kutokana na upeo na utendaji wake kwa umma. Mwigulu amejikuta maji ya m2ngi kwa kujua fika kuwa akianza choko na Zitto, zaid atakachoambulia ni fedheha na aibu hata zaid alizonazo sasa iv. mwigulu kaogopa, maana akiliamsha, hataeza kuhimili.
 
We akili zako za kichina, Dr Slaa alipoenda kufanya mkutano wa katiba kiomboi, dodoma,mbeya songea mtwara, lindi nako ni kaskazini??? Mbowe alipoenda mwanza, kakola, isaka, shinyanga,bukoba, musoma n.k kote hhuko ni kaskazini??? Hoja yenu hio ilishashindwa lia naona nyie ni wafa maji tu.

ondoa akili yako kwenye mifuko ya slaa na mbowe, kisha rudi tulumbane. nya.mbafu wewe
 
Back
Top Bottom