Kuna nini kati ya Mwigulu na Zitto?

Kuna nini kati ya Mwigulu na Zitto?

mpaka sasa hakuna asiyefahamu kuwa mwigulu ni bata anayetaka kuatamia mayai ya kuku huku akitegemea kuangua watoto wa bata.na kuhusu zitto bado natafakari.

ZITTO na MWIGULLU nawatazama kama watu makini sana katika medani za siasa, mnapoteza muda mwingi sana kuwaongelea mkikfikri kufanya hivyo ni kuwabomoa na ni kuwajenga akina SLAA na MBOWE. Kila jambo lina wakati wake, SLAA na MBOWE muda wao wa kung'ara umekwisha, waacheni tu hawa vijana wachane anga.
 
Hivi mtu utapata wapi ujasiri wa kukaa na jitu linalotembea na mabomu?
 
ZITTO na MWIGULLU nawatazama kama watu makini sana katika medani za siasa, mnapoteza muda mwingi sana kuwaongelea mkikfikri kufanya hivyo ni kuwabomoa na ni kuwajenga akina SLAA na MBOWE. Kila jambo lina wakati wake, SLAA na MBOWE muda wao wa kung'ara umekwisha, waacheni tu hawa vijana wachane anga.


Ni kweli,

Ndio maana Slaa pamoja na kwamba ni mtu aliyeitiliza umri wa kustaafu, lakini kila kukicha anawaza jinsi ya kuwashambulia vijana hao wawili.
 
Umemaliza vizuri kuwa Mwigullu na ZITTO ni pubic figures, unachotaka kufanya ni kuwachonganisha tu, kaanze weekend.

Sina nia hyo na wala dhamira yangu haiongozwi na uchonganishi trust me: asante lkn
 
Kiongozi lengo sio hilo,zitto ni mwanasiasa mwelevu na pia anajua anachokifanya,shida yangu ni kutaka kujua kwa nini siasa zao zimekuwa nzuri kati yake yeye na mwigulu? why ishindikane kwa slaa na mbowe? think big

Zitto ana deal na Viongoz wa Serikal sio Vyama, ushamsikia akimshambulia Kinana,Mukama,Nape,Mangula au Mbatia au Lipumba? Kwann umechagua Mwigulu na si Nape? Usimfundishe Siasa yeye kachagua ku deal na Viongoz wa Serikal Slaa kachagua ku deal na Viongoz wa Chama na ndio sababu Hutamsikia Slaa akimshambulia Pinda,Ngeleja,Muhongo au Mgimwa, Yeye Slaa yupo bize na Kinana,Nape na Mwigulu lakin huko hujahoji! Tabia ya watu wajinga ni kuchukia wenye akili
 
soma uzi wangu mpk mwisho then rudi tena hapa,maana tunaongelea watu wawili,dr slaa kapita humu kama mfano but our topic ni mwigulu na zitto,tusaidiane kujijenga kifkra ili tutoke hapa tulipo

huyo kituko ni udini umemjaa kichwani...hakuna analo liwaza zaidi ya hilo, jaribu kufwatilia comments zake utagundua hilo, akuna asie mjua huyu mtu.
 
Ni kweli,

Ndio maana Slaa pamoja na kwamba ni mtu aliyeitiliza umri wa kustaafu, lakini kila kukicha anawaza jinsi ya kuwashambulia vijana hao wawili.

"ulichokianzisha hakiweza kwenda sawa bila kukisimamia" kuna mda nageuka mods ili kuwarejesha kwenye topic.
 
wasalaam wanaJF?

Nimekuwa mfatiliaji sana wa siasa za hapa nyumbani kwa mda mrefu,ila sijawahi shuhudia mh mwigulu akimkosea adabu mh zitto kabwe kama anavyofanya kwa katibu mkuu dr slaa,hawa watu vyeo vyao viko sawa ndani ya vyama vyao,zitto kabwe ni naibu katibu mkuu wa chadema na mh mwigulu nae ni naibu katibu mkuu wa ccm.

Katika mda tofauti watu hawa wamekuwa wakialikwa kwenye vipindi vya Tv kwa pamoja ila kuna mda mmoja nashindwe kutokea<mara nyingi watangazaji husingizi foleni,kuwa mgeni wetu kashindwa kuja sababu ya foleni,mfano,kuna siku star tv waliwaalika naibu katibu mkuu wa cuf mtatiro,naibu katibu mkuu wa chadema zitto,na naibu katibu mkuu wa ccm mwigulu ila mh zitto kabwe hakutokea na siku hyo mwigulu aliutangazia umma kuwa anao mkanda unaonyesha viongozi wa juu wa cdm wakupinga mauaji:

Nimekuwa nikiwaangalia hawa watu kwa jicho la3 mda mrefu sana,mh mwigulu kajikita sana kumshambulia dr slaa,vile vile mh zitto kabwe nae kajikita sana kwa waziri mkuu mh pinda mpk ilifikia hatu ya kukusanya sahihi za kutokuwa na imani na waziri mkuu,na sasa kaja na swala la mshahara wake,nikirudi upande wa mwigulu imefikia hatua mpk kaajiri vijana ambao wanatumia Id zaidi ya 4 kwa mtu mmoja ili kumdhalilisha dr slaa na mara chache mh mbowe,kuna mambo mengi sana hayako sawa na ukiyafatilia utagundua nachoongelea hapa,kwani kuna mambo mengi sana mabaya ambayo mh mwigulu kaifanyia cdm mpaka sasa lakini kamwe hutamsikia zito kayakemea pia upande wa zito kuna vitu vingi sana kaviibua kuhusiana viongozi wa ccm mfano fedha za uswiz and so on ila hutamsikia mwigulu kamsema zito kwa lolote kama alivyozoea kuwasema slaa na mbowe:

Swali la msingi: watu hawa kuna makubaliano yoyote waliyoyafanya ili kutunziana heshima? sina nia ya kuwachonganisha zitto na mwigulu bali wao ni public figures na matendo yao yanafatiliwa kwa ukaribu mkubwa na watu mbali mbali nje na ndani ya nchi yetu.

Ombi: tusijadili maisha yao binafsi bali kazi zao na harakati zao ndani ya vyama vyao

Zitto ni kipenzi cha CCM kwani anawasaidia! Ona hapa JF magamba wanavyo-mpromote
 
Zitto ni mwanasiasa mwerevu na mwenye kujitambua full stop!

Agree...wakati wenzake akili zao ziko dar, kilimanjaro na Arusha. Akili yake inaangaza Tanzania yote. Na sasa yuko magharibi vijijini ambako wenzake wala hawana mpango nako.
 
wasalaam wanaJF?

Nimekuwa mfatiliaji sana wa siasa za hapa nyumbani kwa mda mrefu,ila sijawahi shuhudia mh mwigulu akimkosea adabu mh zitto kabwe kama anavyofanya kwa katibu mkuu dr slaa,hawa watu vyeo vyao viko sawa ndani ya vyama vyao,zitto kabwe ni naibu katibu mkuu wa chadema na mh mwigulu nae ni naibu katibu mkuu wa ccm.

Katika mda tofauti watu hawa wamekuwa wakialikwa kwenye vipindi vya Tv kwa pamoja ila kuna mda mmoja nashindwe kutokea<mara nyingi watangazaji husingizi foleni,kuwa mgeni wetu kashindwa kuja sababu ya foleni,mfano,kuna siku star tv waliwaalika naibu katibu mkuu wa cuf mtatiro,naibu katibu mkuu wa chadema zitto,na naibu katibu mkuu wa ccm mwigulu ila mh zitto kabwe hakutokea na siku hyo mwigulu aliutangazia umma kuwa anao mkanda unaonyesha viongozi wa juu wa cdm wakupinga mauaji:

Nimekuwa nikiwaangalia hawa watu kwa jicho la3 mda mrefu sana,mh mwigulu kajikita sana kumshambulia dr slaa,vile vile mh zitto kabwe nae kajikita sana kwa waziri mkuu mh pinda mpk ilifikia hatu ya kukusanya sahihi za kutokuwa na imani na waziri mkuu,na sasa kaja na swala la mshahara wake,nikirudi upande wa mwigulu imefikia hatua mpk kaajiri vijana ambao wanatumia Id zaidi ya 4 kwa mtu mmoja ili kumdhalilisha dr slaa na mara chache mh mbowe,kuna mambo mengi sana hayako sawa na ukiyafatilia utagundua nachoongelea hapa,kwani kuna mambo mengi sana mabaya ambayo mh mwigulu kaifanyia cdm mpaka sasa lakini kamwe hutamsikia zito kayakemea pia upande wa zito kuna vitu vingi sana kaviibua kuhusiana viongozi wa ccm mfano fedha za uswiz and so on ila hutamsikia mwigulu kamsema zito kwa lolote kama alivyozoea kuwasema slaa na mbowe:

Swali la msingi: watu hawa kuna makubaliano yoyote waliyoyafanya ili kutunziana heshima? sina nia ya kuwachonganisha zitto na mwigulu bali wao ni public figures na matendo yao yanafatiliwa kwa ukaribu mkubwa na watu mbali mbali nje na ndani ya nchi yetu.

Ombi: tusijadili maisha yao binafsi bali kazi zao na harakati zao ndani ya vyama vyao

Mbona unajishuku, wewe unawajishuku? wewe waweza kuwa miongoni mwa wale wanaoacha kujadili na kujadili watu. Mada yenyewe ya umbea tu.
 
Zitto ana deal na Viongoz wa Serikal sio Vyama, ushamsikia akimshambulia Kinana,Mukama,Nape,Mangula au Mbatia au Lipumba? Kwann umechagua Mwigulu na si Nape? Usimfundishe Siasa yeye kachagua ku deal na Viongoz wa Serikal Slaa kachagua ku deal na Viongoz wa Chama na ndio sababu Hutamsikia Slaa akimshambulia Pinda,Ngeleja,Muhongo au Mgimwa, Yeye Slaa yupo bize na Kinana,Nape na Mwigulu lakin huko hujahoji! Tabia ya watu wajinga ni kuchukia wenye akili

Kupanga ni kuchagua,mie nimechagua kuwaongelea mwigu na zitto na siasa wanazoendesha,kuwa ni nzuri natuanakiwa kuziinga sasa siri ya siasa zao ni nini? maana kila mmoja hana time na mwenzake japoa kazi zao wote zinafanana,na hayo uliyoyasema kwa nini mwigu nae asideal na matatizo ya watanzania kila kukicha yeye na slaa?

sina nukuu ya kukupa maana lengo sio kubomoa bali kujenga
 
Agree...wakati wenzake akili zao ziko dar, kilimanjaro na Arusha. Akili yake inaangaza Tanzania yote. Na sasa yuko magharibi vijijini ambako wenzake wala hawana mpango nako.

Mkuu, kama umegundua , hivi sasa anatembelea mikoa yote ambayo imesahaulika na M4C.
 
Mbona unajishuku, wewe unawajishuku? wewe waweza kuwa miongoni mwa wale wanaoacha kujadili na kujadili watu. Mada yenyewe ya umbea tu.

wewe hapo umejadili mada au umenijadili mimi? asante kwa mchango wako
 
Mkuu, kama umegundua , hivi sasa anatembelea mikoa yote ambayo imesahaulika na M4C.

mikoa anayotembelea naibu katibu mkuu wetu ni mikoa inayomhusi yeye i mean ni kanda yake,lazima ahakikishe iko salama mda wote
 
Kupanga ni kuchagua,mie nimechagua kuwaongelea mwigu na zitto na siasa wanazoendesha,kuwa ni nzuri natuanakiwa kuziinga sasa siri ya siasa zao ni nini? maana kila mmoja hana time na mwenzake japoa kazi zao wote zinafanana,na hayo uliyoyasema kwa nini mwigu nae asideal na matatizo ya watanzania kila kukicha yeye na slaa?

sina nukuu ya kukupa maana lengo sio kubomoa bali kujenga

Hata haueleweki unasema nini, leo ijumaa wahi viroba.
 
Ukiona unashambuliwa na Timu ya Lumumba ujue wewe ndiye unayefaa kuongoza harakati za kweli za kuwang'oa.

Kamwe CCM wasitarajie CHADEMA kita-loose focus.

Adui wa CCM ni rafiki yetu na tutasimama nae hadi tone la mwisho tukiendelea kuimarisha misingi ya kitaasisi itakayozalisha maadui wengi zaidi wa CCM na mfumo wa kidhalimu
 
Zitto ni kipenzi cha CCM kwani anawasaidia! Ona hapa JF magamba wanavyo-mpromote

wanapenda siasa zake na sisi tunataka tupende siasa za mwigulu ili tujenga taifa lenye afya njema,zitto ni mbunge na pia ni naibu katibu mkuu na mwigulu nae ni mbunge na pia ni naibu katibu mkuu
 
Zitto ni kipenzi cha CCM kwani anawasaidia! Ona hapa JF magamba wanavyo-mpromote

Mkuu, sidhani kama kila aliyeko humu ni gamba, nadhani waelewa wanasimama katika facts, ZITTO na MWIGULLU hauwezi kuwafananisha na SLAA hata siku moja, mleta mada mwenyewe amekiri Mwigullu na ZITTO ni public figures, hawa vijana hawana majungu, chuki binafsi na umbea usiyo na maana, jambo la msingi tuwaombee wasonge mbele, akina SLAA muda wao umekwisha na ndiyo maana wanajaribu kutumia fursa za kwenda nje kwa ruzuku za chama ili kuzipa mianya ya mipato vyao kabla hawajakaa pembeni.
 
zito na mwigulu wote ni wanasiasa wa hoja siyo porojo wewe unataka wakosoane hata kama hakuna sababu we vipi.

Mwigulu naye ni mwanasiasa wa HOJA?? sidhani hata kidogo!

Kuna lipi hasa kwake toka awe mbunge?? Zaidi twasikia huku na kule kwa yeye kuhusishwa na matukio mabaya yanayopelekea mauaji. Mtu huyu angeweza kuwa kiongozi makini ila walikosea kumpa uongozi wa kichama. Amegeuka kuwa mfia chama badala ya nchi na watu wake.
 
Back
Top Bottom