Ukiona unashambuliwa na Timu ya Lumumba ujue wewe ndiye unayefaa kuongoza harakati za kweli za kuwang'oa.
Kamwe CCM wasitarajie CHADEMA kita-loose focus.
Adui wa CCM ni rafiki yetu na tutasimama nae hadi tone la mwisho tukiendelea kuimarisha misingi ya kitaasisi itakayozalisha maadui wengi zaidi wa CCM na mfumo wa kidhalimu
Kwa nini unadhani , watu wanaamini CHADEMA kita-loose focus? ni kwa sababu unadhani ZITTO ni rafiki wa CCM?