masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
- Thread starter
- #81
Zitto ni mwanasiasa mwerevu mno, mweny kuzingatia utaratibu na itifaki pekee, na pia ana uzoefu wa kutosha ktk uongoz kutokana na upeo na utendaji wake kwa umma. Mwigulu amejikuta maji ya m2ngi kwa kujua fika kuwa akianza choko na Zitto, zaid atakachoambulia ni fedheha na aibu hata zaid alizonazo sasa iv. mwigulu kaogopa, maana akiliamsha, hataeza kuhimili.
Yote yanawezekana lakini wenye siri kubwa ni wao wawili,mie napenda sana siasa za mwigulu ziwe kama za zito,ili tuepushe mihemka,mfano dr k,mkumbo ni msomi mzuri sana lakini kwa siasa za mwigulu wameshindwa hata kukaa pamoja ili kuangalia mkoa wao una challange gani ambazo wanaweza kuzifanyia kazi zikaokoa jamii kubwa zaidi,ukisia kitila yupo singida basi kesho mwigu nae anapita kule kule ama kumuonya na kumtishia,hapo tunajenga au tunabomoa?