Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Mkapa huwa haamini kama ni kweli jamaa ni presdaa maana ana mizaha mingi so mkapa anaona aibu kukaa mbele ya macho ya waTz
 
Il est vraiment parmi les meilleures président jamais à prononcer notre pays, mais pas le meilleur jamais ..
Il est tout simplement le meilleur, c'est tout ce que je peux dire, le meilleur jamais.
 
Tres bien monsieur, mais combient de Tanzanians ont compris ces vous venez d'annonce?

Un certain nombre de Tanzaniens ont réalisé que j'ai ajouté ce? Tu m'as mal monsieur! Ce qui est réel, Il n'y a pas tout semblant ici.
 
Ni hao hao tuu. Wanachozidiana ni ubabaishaji kati yao. Mmoja aweza kuwa mbabaisahaji sana, mwingine akawa afadhali - lakini wote ni wababaishaji
 
Kama amiri jeshi anawatambua maadui wa nchi na wapi walipojificha lakini hathubutu kuwataja au kuwaadhibu, unategemea nini toka kwa makada wengine wa chama au kwa askari wa kawaida? Wabongo tulisha chemka, wakujilaumu ni sisi wenyewe si watafuna nchi!
 
Sikuona viongozi niliona waislam wakiingizwa kwenye ukumbi wa bunge ngoja ni wataje kikwete, bilali, shein mwinyi karume hamad chande makungu upande wapili hata wadawa ila wamakanisani hawana kuchonga
 
Sikuona viongozi niliona waislam wakiingizwa kwenye ukumbi wa bunge ngoja ni wataje kikwete, bilali, shein mwinyi karume hamad chande makungu upande wapili hata wadawa ila wamakanisani hawana kuchonga

Acha kuongea utumbo kwa mambo ya msingi!!!!!!.......mambo ya dini kwenye uzi huu yanakujaje? kama huna cha kuchangia ni bora kukaa kimya kuliko kuleta udini hapa maana unajipunguzia heshima yako bro!
 
Mkapa huwa haamini kama ni kweli jamaa ni presdaa maana ana mizaha mingi so mkapa anaona aibu kukaa mbele ya macho ya waTz
Kikwete anaruhusiwa kufanya mizaha inapobidi maana yeye ni mwanasiasa na wala siyo hakimu. Hata Mwl. Nyerere kuna hotuba zake nyingi tu alikuwa anachekesha mbona hamumsemi?

 
Kutokana na uwezo wa Ben kujieleza na kutoa hoja zenye nguvu, mara nyingi huwa amapata mialiko kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kwa mfano alisi ni wakati wa ufunguzi wa bunge la katibu Ben alikuwa majuu,hivyo ni dhahiri asingeweza kuudhuria kikao kile.

Inawezekana ni kweli alikuwa majuu, kwani wakati wa utawala wake yeye alikuwa anawaabudu na kuwathamini sana watu wa nje kuliko watanzania.ndio maana akauza NBC,TRC,Mgololo paper mill, baada ya kushindwa kuuza ATC akaidhoofisha kwa kumruhusu swahiba wake awekeze kwenye Precision, akauza nyumba za serikali za mawaziri, makatibu wakuu, na za watumishi wengine wa serikali nchi nzima. Vitendo hivyo ni baki ya kashfa za wizi wa EPA na utapeli wa kujiuzia mgodi wa makaa ya mawe Kiwira.

Akiwa bado madarakani hakupata fursa ya kujua hisia za wananchi kuhusu vitendo vyake. Lakini baada ya kumaliza ngwe yake ameona chuki na hasira za wananchi zilizojengeka kutokana na vitendo vyake, kwani kila aonekanapo hadharani hakosi kusindikizwa na miguno na kuzomewa. Hata ingekuwa ni wewe ungepata wapi ubavu wa kujipitisha pitisha hadharani!!!
 
Rais Kikwete kamteua Prof. Mahalu kwenye TUME YA KATIBA; Na si MKAPA alipandishwa kizimbani kwenye kesi ya MAHALU?

TICK tak... scandal ---
 
Ben naye ana yake makubwa zaidi;
atakuwa anaogopa macho ya watanzania.
 
Mkapa is afraid of being linked to failures.He Kikwete is undoubtedly the best president this country has ever had.

Mbona unaji-contradict!! If the Hon. Kikwete is the best we have never had, Why Mr. Mkapa is afraid to be linked with him?? Anyway, that's your opinion!! To me is the other way around!!
 
Back
Top Bottom