Hadhi ipi mbona mataifa makubwa yote yamkimbilia Kikwete? mpaka majirani wanatuchukia.ebwana emenena m2 wng, lijamaa limeshusha hadhi ya uraisi kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
Hadhi ipi mbona mataifa makubwa yote yamkimbilia Kikwete? mpaka majirani wanatuchukia.ebwana emenena m2 wng, lijamaa limeshusha hadhi ya uraisi kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
Un certain nombre de Tanzaniens ont réalisé que j'ai ajouté ce? Tu m'as mal monsieur! Ce qui est réel, Il n'y a pas tout semblant ici.
Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyu
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 21%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini
Sawa kabisa. Mpaka hivi sasa imewalevya wanatoa uharo hovyo na kumtukana Kikwete aliyetoa fursagoood,aliestawisha demokrasia nchini.....
K ya mamako itakua
Sasa kama Mkapa hakutaka kikwete awe rais iweje alinpigia campaign? ??
Sasa kama Mkapa hakutaka kikwete awe rais iweje alinpigia campaign? ??
Sasa kama Mkapa hakutaka kikwete awe rais iweje alinpigia campaign? ??
Jamani wadanganyika ukiangalia ukweli Mkapa na Kikwete hawaivi jiko moja,Mkapa na hakika hakutaka Kikwete awe Rais,basi tu ilibidi,naongea na uhakika wa asilimia zaidi ya 100%,na usalama wa taifa mdelete hili,
Jamani wadanganyika ukiangalia ukweli Mkapa na Kikwete hawaivi jiko moja,Mkapa na hakika hakutaka Kikwete awe Rais,basi tu ilibidi,naongea na uhakika wa asilimia zaidi ya 100%,na usalama wa taifa mdelete hili,
Kikwete hana uwezo wa uongozi, Mkapa alijua hilo.