msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 771
- 643
kwa ninayomuona Ben ni Mtu Makini sana, hapendi ujinga ujinga ingawa nae ana mapungufu yake kama binadamu, ILA mzee RUKSA hakosagi kwenye hizo Inshu!
Mjinga namba moja maana yake namba 2, 3, 4 nk ndo wajinga zaidi yake. Sasa mie nasema JK ndo mjinga wa mwisho kabisa kwenye hiyo list.Hapendi ujinga wakati yeye ndio mjinga namba moja
Mkapa est craignant d'être lié à Kikwete failures.He est sans aucun doute le meilleur président de ce pays ait jamais eu.
Azimio la 9:la wananchi
Rais ajipime kama ana uadilifu wa kutosha kukaa Ikulu.
Mkapa himself blew it up na hakuwa na moral authority ya kuwachagulia watanzania kiongozi. He was just so tainted!!
Huyoooo sumaku cjui sumaye ndo hovyooo kabisaaaaaa
mpaka sasa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza wote ndo wale wale km Tezi dume!!! Wote walio jikusanya wana title za uprofesa ila kichwani dalasa la nne
Mkapa alikuwa anamtaka Sumaye!!
Kila mtu ana mazuri na mabaya yake... Hata hivyo JK anayo mazuri yake pia na atakapoingia kiongoz mwingine madarakani tutamkumbuka pia...
Anachotakiwa apunguze yale madhaifu watu wanayoyasema na kuyatendea kaz. Miez michache iliyobakia anaweza angalau akaacha alama.
KATI YA MAMBO AMBAYO WATANZANIA WANGEKUJA KUMKUMBUKA JK INGEKUWA NI KATIBA YA NCHI YETU KAMA ANGALIKUBALI KATIBA WALIYOOMBA WANANCHI IPITISHWE ANGEWEKA ALAMA YA MUHIMU MNO.
Hakuna haja ya kulalamikia hili. Cha muhimu kwa sasa ni kuhakikisha tunampata mtu kama Mkapa 2015.
Mkapa alikuwa na upungufu wake, lakini was best President.
Kosa lake kubwa ni kuruhusu JK awe rais, amekabidhi gari kwa dereva anayejua kbs kuwa anatupeleka kusiko, na sasa anacheka akisema i toild them they did not listen.
Watu wanasema Mkapa alimtaka mtaalam wake wa uchumi, Kigoda. Si mwingine.
who is Mkapa by the way? he is just a fisadi as others. so don't waste your stupid time here. just go and have a kitochi prior to x-mas.
Ben hapendi ujinga ujinga.
Ex president Mkapa si aina ya hao uliowataja Hapo juu.....anajitambua kuliko hao wazee wengine
Hapendi ujinga wakati yeye ndio mjinga namba moja
Mkapa aliaminiwa na Nyerere lakini what i guess ame-play part kuiweka Tanzania hapa ilipo, for sure hasa kwa ufisad wa kichinichini uliokuwepo ambao tulikuwa hatuujui,tumeujua ufisad wa EPA ambao ulikua chini yake,vipi kuhusu ufisadi wa NBC na mengineyo?Ujinga wa Ben uko wapi!! Kakavua ujinga Wa Ben,zen nadadavua ujinga wa Jakaya
Mkapa aliaminiwa na Nyerere lakini what i guess ame-play part kuiweka Tanzania hapa ilipo, for sure hasa kwa ufisad wa kichinichini uliokuwepo ambao tulikuwa hatuujui,tumeujua ufisad wa EPA ambao ulikua chini yake,vipi kuhusu ufisadi wa NBC na mengineyo?
Azimio la 9:la wananchi
Rais ajipime kama ana uadilifu wa kutosha kukaa Ikulu.
Mkapa himself blew it up na hakuwa na moral authority ya kuwachagulia watanzania kiongozi. He was just so tainted!!
Huyoooo sumaku cjui sumaye ndo hovyooo kabisaaaaaa
mpaka sasa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza wote ndo wale wale km Tezi dume!!! Wote walio jikusanya wana title za uprofesa ila kichwani dalasa la nne
Mkapa alikuwa anamtaka Sumaye!!
Kila mtu ana mazuri na mabaya yake... Hata hivyo JK anayo mazuri yake pia na atakapoingia kiongoz mwingine madarakani tutamkumbuka pia...
Anachotakiwa apunguze yale madhaifu watu wanayoyasema na kuyatendea kaz. Miez michache iliyobakia anaweza angalau akaacha alama.
KATI YA MAMBO AMBAYO WATANZANIA WANGEKUJA KUMKUMBUKA JK INGEKUWA NI KATIBA YA NCHI YETU KAMA ANGALIKUBALI KATIBA WALIYOOMBA WANANCHI IPITISHWE ANGEWEKA ALAMA YA MUHIMU MNO.
Hakuna haja ya kulalamikia hili. Cha muhimu kwa sasa ni kuhakikisha tunampata mtu kama Mkapa 2015.
Mkapa alikuwa na upungufu wake, lakini was best President.
Kosa lake kubwa ni kuruhusu JK awe rais, amekabidhi gari kwa dereva anayejua kbs kuwa anatupeleka kusiko, na sasa anacheka akisema i toild them they did not listen.
Watu wanasema Mkapa alimtaka mtaalam wake wa uchumi, Kigoda. Si mwingine.
who is Mkapa by the way? he is just a fisadi as others. so don't waste your stupid time here. just go and have a kitochi prior to x-mas.
Ben hapendi ujinga ujinga.
Ex president Mkapa si aina ya hao uliowataja Hapo juu.....anajitambua kuliko hao wazee wengine
Hapendi ujinga wakati yeye ndio mjinga namba moja
Ujinga wa Ben uko wapi!! Kakavua ujinga Wa Ben,zen nadadavua ujinga wa Jakaya
Yaani wanaomsifia Njomba Nkaper me hata siwaelewi kabisa, hawa watu wa ajabu mno,Yes mkuu umesema hakuna ufisadi ulofanyika mkubwa na watu kuchota pesa kkma kipindi cha mkapa jamaaa hata ruksa ya kuongea Uhuru wa kuongea aliufinya yeye mwenyewe kachota pesa ana mahotel majumba kufuru ya rahman yan n balaaa sasa LEO hii watanzania tunapata kujua na kutoa maoni yetu why tusishukru leo unambie mkapa MTU makini apendi ujinga watu hawa n wapuuz ameuwa Pemba wananch kwa bunduki sign ilitiwa yeye karume na mahita mkapa n fisi sumaye kachota pesa nying ndomna mkapa almtaka Sumaye waendellze ufisad wao mkapa hana uwezo wa kuipangia nchi rais sawa nyie mavi ya ng'ombe
Mkapa est craignant d'être lié à Kikwete failures.He est sans aucun doute le meilleur président de ce pays ait jamais eu.