Ila huyu jk anavyokula nchi na mwanae na rafiki zake kwa kuwaweka ktk sehemu nyeti na huku wakitafuna pesa za mtanzania na kushindwa kuwawajibisha kila kukicha kwako si ufisadi.kupeana tenda za serikali kila kukicha pasipo ufanisi wa kazi. We unafikiri wanayofanya kina kinaa jk hajui, unga?
Labda uniambie ben alikuwa anakula peke yake huyu mnampenda kwa vl anakula na mashosti
kizuri kula na mwenzio dada..lakini ufisadi wote wa epa, meremeta, richmond ulianzia kwa ben, ata mzee wa vijisent ni kipindi cha ben, hivi ile bank ya ben na mkewe ANBEN iliishia wapi? na ule mgodi wa ben KIWIRA umeishia wapi dada?