Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kila mtu ana mazuri na mabaya yake... Hata hivyo JK anayo mazuri yake pia na atakapoingia kiongoz mwingine madarakani tutamkumbuka pia...

Anachotakiwa apunguze yale madhaifu watu wanayoyasema na kuyatendea kaz. Miez michache iliyobakia anaweza angalau akaacha alama.

KATI YA MAMBO AMBAYO WATANZANIA WANGEKUJA KUMKUMBUKA JK INGEKUWA NI KATIBA YA NCHI YETU KAMA ANGALIKUBALI KATIBA WALIYOOMBA WANANCHI IPITISHWE ANGEWEKA ALAMA YA MUHIMU MNO.
 
Sasa ww nae toa sababu maalum kwa nn unaona hvyo tukuelewe.
 
mpaka sasa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza wote ndo wale wale km Tezi dume!!! Wote walio jikusanya wana title za uprofesa ila kichwani dalasa la nne
 
Mkapa himself blew it up na hakuwa na moral authority ya kuwachagulia watanzania kiongozi. He was just so tainted!!
 

Attachments

  • 1419315992301.jpg
    1419315992301.jpg
    71.8 KB · Views: 214
Jamani wadanganyika ukiangalia ukweli Mkapa na Kikwete hawaivi jiko moja,Mkapa na hakika hakutaka Kikwete awe Rais,basi tu ilibidi,naongea na uhakika wa asilimia zaidi ya 100%,na usalama wa taifa mdelete hili,

- So what?

Le Mutuz
 
Jamani wadanganyika ukiangalia ukweli Mkapa na Kikwete hawaivi jiko moja,Mkapa na hakika hakutaka Kikwete awe Rais,basi tu ilibidi,naongea na uhakika wa asilimia zaidi ya 100%,na usalama wa taifa mdelete hili,[/QUO
Unataka kumaanisha nini sasa
 
Ndugu wanajamii hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa letu, kuna swala limekuwa likinitatiza sana kuhusu viongozi wetu hawa wa kitaifa yaani raisi Kikwete na raisi mstaafu Mkapa imekuwa ni nadra sana kumuona mkapa anauzulia sherehe za kiserikali au hafla zingine tu ambazo Jk amekuwa mgeni rasmi, mfano juzi wakati wa ufunguzi wa bunge maalumu la katiba niliona viongozi karibu wote ila Mkapa hakutokea, tatizo ni nini wadau? mwenye ufahamu juu ya hili atujuze wakuu.
Mkapa hatakiwi kukaa kitini kwa muda mrefu nasikia kawa mnene mno ndio maana haji
 
Jamani wadanganyika ukiangalia ukweli Mkapa na Kikwete hawaivi jiko moja,Mkapa na hakika hakutaka Kikwete awe Rais,basi tu ilibidi,naongea na uhakika wa asilimia zaidi ya 100%,na usalama wa taifa mdelete hili,
who is Mkapa by the way? he is just a fisadi as others. so don't waste your stupid time here. just go and have a kitochi prior to x-mas.
 
Kikweke sio JK maana kuna JK mmoja tu Tanzania ambaye ni Julius Kambarage Nyerere!!
Sasa Kikwete anaposema anamajina ya wauza unga ila hataki kuwataja!!
Aliposema wezi waliokwapua mpunga Wa EPA anawapa mda warudishe mpunga!!
Juzi wakati anahojiwa na BBC alisema anawajua wauaji wa tembo wetu alipoambiwa wataje akagoma!! Huo kwa werevu wako unauitaje????

Kumuita mjinga ni kumpa hadhi ya juu sana. Huyu ni MPUMBAVU GRADE "A"
 
Upo Sahihi 100% Na Ukweli Ni Kwamba Che Nkapa Na Watanzania Wachache Tuliokuwa Na Maono GENTAMYCINE Inclusive Tulitaka Sana Senior African Diplomat Salim Ahmed Salim Awe Rais Wetu Isipokuwa Mr. SHIPA a.k.a TEZI DUME Alitumia Pesa Mno Huku Akiikamta Media Karibu Zote..........Mazingira Yalimshinda Che Nkapa!
Na 2015 atatumia fweza
 
Mkapa è temendo di essere legati a Kikwete failures.He è senza dubbio il miglior presidente di questo paese abbia mai avuto.

We f.....la kweli wewe! sasa kutuandikia lugha hiyo ndio kuonyesha umesoma sana lugha hiyo au nini! Mshamba tu.
 
Tungemuuliza Ben au JK wangetupa majibu sahihi. Hivi ni vizuri kuwaita viongozi wetu kuwa ni "Wajinga". Mimi naona lugha kama hiyo inakuwa ni kama kuwatukana watanzania wote. Kila binadamu ana mapungufu na mazuri yake. Bora tuchambue udhaifu wa viongozi wetu bila kuwa-label majina ya kudhalilisha.
 
Mkapa anampa nafasi JK aongoze kwa mtizamo wake maana mwanzo wa uongozi wa JK kuna mawazo ya kishabiki yaliyotaka kuwakosanisha hawa viongozi(sio wenyewe ila mashabiki wasiolipwa). Ikaonekana kwamba JKNyerere alimnyima raisi mwinyi uhuru wa kuongoza sasa Mkapa nae anamnyima JK. kikubwa mkumbuke mchango wa Mkapa na Sumaye CCM ilipokuwa imewekwa kwenye kona na cdm kinyanganyiro cha urais walibuust sana ndio JK akapita .Hivyo naona ni ustaarabu tu anatumia kuendani na uwezo wa ufikiri wa wanachi wa tz.Huwezi msikia issue ya katiba ila ccm ikizizidiwa kwenye kampeni atakuja na mikwala yake mbuzi
 
Back
Top Bottom