Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Duh kwa imani watu waliyonayo juu ya huyo Heche kama mtapita nae itakuwa kazi nzito sana ..mara mia TAL japo naye anapendwa na anahaki ya kuishi ila Heche sijui vijana mtawaambia nini ..kuanzia hapo Tarime mpaka huku Kigamboni.
 
Mjumbe katoa yake asishambuliwe,
Mjumbe gani huyo? Huyu Gilbert A Massawe..?

Huyu siye mjumbe wetu sisi unless awe wako wewe peke yako Seth saint...

Kwetu sisi, he's the messenger from the hell...
someni kwa utulivu.
Huhitaji kuwa na focus ya utulivu wa hata 15% ya uwezo wako kutambua kuwa, huyu ni mjumbe kutoka kuzimu na anahitaji kupelekewa moto kwelikweli wa kukemewa....!
Bwana Heche hakuna wakumgusa kuwa na amani narudia tena.
Absolutely, hakuna wa kumgusa kwa kuwa John Heche ni alama ya HAKI na Mungu Yehova tumwabuduye ni Mungu wa HAKI...
Mwana kondoo ameshinda tumfuate.
....ni Yesu Kristo na Amina 🙏🙏🙏tumfuate kwelikweli
 
Nilidhani Al Shabaab imeingia, kumbe ni wazawa.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Pathetic! Ni nani anayehujumu uchumi wa Tanzania more than Serikali ya CCM? Kuwapa label ya ugaidi raia ambao sio magaidi hakuharibu image ya nchi kwenye macho ya potential tourists?
 
Mtoa mada nani mwenye makosa ivi wewe ukupatwa na msiba Mo29
 
Duh kwa imani watu waliyonayo juu ya huyo Heche kama mtapita nae itakuwa kazi nzito sana ..mara mia TAL japo naye anapendwa na anahaki ya kuishi ila Heche sijui vijana mtawaambia nini ..kuanzia hapo Tarime mpaka huku Kigamboni.
Usiwaamini watanganyika.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Nyie ni wapuuzi tu msiostaarabika
Hebu weka hapa kipimo mnachotumia kupimia uhuru.

.... Chujio zenu hupitisha ng'ombe na kuwaacha mbu.
 
Duh kwa imani watu waliyonayo juu ya huyo Heche kama mtapita nae itakuwa kazi nzito sana ..mara mia TAL japo naye anapendwa na anahaki ya kuishi ila Heche sijui vijana mtawaambia nini ..kuanzia hapo Tarime mpaka huku Kigamboni.
Kinachosikitisha ni kuwa mtu anahukumiwa nje ya mahakama na anahukumiwa kifo kabisaa.
Extrajudicial killings kupitia wasiojulikana imerasimishwa na serekali ya CCM.
 
Alijiita hivyo baada ya kuja na sera ya kubadili majina ya vitu muhimu kutoka majina ya kikoloni kwenye majina ya kizaire ndio maana hata wakati wa utawala wake haramu DRC ilibadilishwa jina na kutambulika kama Zaire.
Ndio ajiite 'kuku'?😀
 
Huu uzi unamhusu Heche , lolote litakalompata Heche uzi huu utatumika kama rejea wewe sema ni tuhuma tu wakati wenye akili tumeshaelewa anaongelewa nani hapa.

Yule Tumainieli aliyemtishia Ben Saanane uzi wake unaishi hadi leo na ni rejea kwa walichomfanyia hivyo hata uzi huu tutautumia kama rejea .

Mrudi katika siasa za jukwaani ziishie jukwani mambo ya kuwinda watu kuwaua hayana maana mnazidi kubomoa zaidi ya kujenga na mnapanda chuki siku ikilipuka ni zaidi ya October 29.

Dunia nzima sasa inafahamu Tanzania imeingia katika kundi la nchi za hovyo ambazo tulikua tunasikia mambo ya hovyo tu kama mauaji na utekaji sasa Tanzania ndio arena ya hayo mambo.
Huyu Gilbert A Massawe ndiye alimlisha sumu Thadei Ole Mushi.
 
Wa cuba nimeelewa ila vipi cake ya taifa mnataka muile wenyewe?. Tukitakka tupaate cake na sisi mnatuita majina mabaya na mikono yetu mnaichafua kwa mchanga ili tuwe wachafu mbele ya umati tusile, sio sawa kabisa.
Sio mchanga mana mchanga hauchafui, sema udongo ulochanganywa maji aka tope
 
Back
Top Bottom