Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tatizo gari limepata pancha tairi zote 4. Dereva hataki na amegoma kusimamisha gari tuzibe au kubadilisha tairi ili gari liende kwa taratibu za muundo wake.(Ktb)

Ameamua kuliburuza gari atakavyo na limeumiza abiria kwa kujigonga na kugongwa hovyo.
Gari kalipatisha pancha wakati kuna abiria wamelipia mpaka mwisho wa safari.Mbona kazi hii,awe makini dereva anaweza kubadilishwa mbona, umesahau kwenye vikao vya wa neki yule abiria mwenye nauli yake mpaka mwisho wa safari alisema nini? "Labda mambo ya badilike sana"hii ilikuwa kauli tata sana
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Kwamba kuna watu wana uchungu wa nchi kuliko sisi?
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Mkisha zoea kuua hiyo hali inawakaa kwenye damu, mnaamin katika kuua ili mjifurahishe
 
Hizo ni Tuhuma tu Kaka kama zile za Dogo wenu kula michango.

soma between the line arifu .
Huu uzi unamhusu Heche , lolote litakalompata Heche uzi huu utatumika kama rejea wewe sema ni tuhuma tu wakati wenye akili tumeshaelewa anaongelewa nani hapa.

Yule Tumainieli aliyemtishia Ben Saanane uzi wake unaishi hadi leo na ni rejea kwa walichomfanyia hivyo hata uzi huu tutautumia kama rejea .

Mrudi katika siasa za jukwaani ziishie jukwaani mambo ya kuwinda watu kuwaua hayana maana mnazidi kubomoa zaidi ya kujenga na mnapanda chuki siku ikilipuka ni zaidi ya October 29.

Dunia nzima sasa inafahamu Tanzania imeingia katika kundi la nchi za hovyo ambazo tulikua tunasikia mambo ya hovyo tu kama mauaji na utekaji sasa Tanzania ndio arena ya hayo mambo.
 
Tatizo gari limepata pancha tairi zote 4. Dereva hataki na amegoma kusimamisha gari tuzibe au kubadilisha tairi ili gari liende kwa taratibu za muundo wake.(Ktb)

Ameamua kuliburuza gari atakavyo na limeumiza abiria wengi kwa kujigonga na kugongwa hovyo.
Dereva hana cha kupoteza.

nyie abira nyie muwe makini shikeni mchuma mtaacha majonzi kwa Familia.

Attempt ile ni Kadi ya njano wakitoa nyekundu mhhh

Ref: Slow slowy
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Kwahiyo kwamba Tanzania hamna ugaidi? Au unataka waje walipuliwe watoto wa watu sasa sisi tutawajibu nini wazazi wao?
 
Huu uzi unamhusu Heche , lolote litakalompata Heche uzi huu utatumika kama rejea wewe sema ni tuhuma tu wakati wenye akili tumeshaelewa anaongelewa nani hapa.

Yule Tumainieli aliyemtishia Ben Saanane uzi wake unaishi hadi leo na ni rejea kwa walichomfanyia hivyo hata uzi huu tutautumia kama rejea .

Mrudi katika siasa za jukwaani ziishie jukwani mambo ya kuwinda watu kuwaua hayana maana mnazidi kubomoa zaidi ya kujenga na mnapanda chuki siku ikilipuka ni zaidi ya October 29.
uwezi nielewa kaka.

najua una hisia kwani Yohana kavuka red line?


Sidhani.

Tumia vyema akili yako utanielewa.

Joni si alishasema yeye aogopi lolote sasa nasemaje kwa mtu sio muoga wala aogopi lolote.

Victor sempere.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Hiyo ni kuwauzia watu uoga,katika uumbaji nani hataonja umauti,wako walikufa sebuleni walichagua kunyamaza lakini risasi ziliwafuata,Yuko wapi Shariff makini,pamoja na Dua yote risasi hakuikwepa unafiki,ukiangamiza wanaopaza sauti ya kutaka haki unapambana na ghadhabu ya Mungu
 
uwezi nielewa kaka.

najua una hisia kwani Yohana kavuka red line?


Sidhani.

Tumia vyema akili yako utanielewa.

Joni si alishasema yeye aogopi lolote sasa nasemaje kwa mtu sio muoga wala aogopi lolote.

Victor sempere.
Endeleeni , nakukumbusha tu.

Iddi Amin na Joseph Desire Mobutu walikua na nguvu na waliogopwa hata kuliko hata hao watu wanaowatuma.

Ila hadi leo hii hakuna kaburi wala mfupa wa Iddi Amin au Joseph Desire Mobut kule Uganda au DRC.

Tafakari hayo!
 
Hiyo ni kuwauzia watu uoga,katika uumbaji nani hataonja umauti,wako walikufa sebuleni walichagua kunyamaza lakini risasi ziliwafuata,Yuko wapi Shariff makini,pamoja na Dua yote risasi hakuikwepa unafiki,ukiangamiza wanaopaza sauti ya kutaka haki unapambana na ghadhabu ya Mungu
Hakuna anayeenda kufa tena safari hii kuwa na amani yule askofu wenu huwa anasema hivi "Mwana kondoo ameshinda tumfuate" kazi kwenu kumfuata mwanakondoo au kuendelea na yenu
 
Gari kalipatisha pancha wakati kuna abiria wamelipia mpaka mwisho wa safari.Mbona kazi hii,awe makini dereva anaweza kubadilishwa mbona, umesahau kwenye vikao vya wa neki yule abiria mwenye nauli yake mpaka mwisho wa safari alisema nini? "Labda mambo ya badilike sana"hii ilikuwa kauli tata sana
Lakini spare tyre zipo za kutosha, nashauri asimame tubadilishe Tyre mwendo usonge.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Hata wewe UTAKUFA, tena ukiwa na MBEGE mdomoni.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.

..hakuna ambaye hatakufa.

..acheni kutisha wananchi.
 
hahaha useme na kutangaza wewe kuna magaidi

ila hutaki tena dunia iambiwe kuna magaidi msije huku kwa kisingizio cha kuharibu biashara na utalii

kwani unapo sema ww na wenzako kuna ugaidi na magaidi hujui kuna utalii na biashara
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Hakuna jipya
Hakuna asiyejua hiyo mipango ovu
Hakuna asiyejya unaenuongelea, infact yule dada kule x alishaongelea hili last week na page kibao zili repost... so hakuna jipya hapa labda kwa wasio fuatlia mambo huko insta, X etc...

Im telling YOU Mungu yupo ...msisahau hakuna atakaeishi milele
 
Endeleeni , nakukumbusha tu.

Iddi Amin na Joseph Desire Mobutu walikua na nguvu na waliogopwa hata kuliko hata hao watu wanaowatuma.

Ila hadi leo hii hakuna kaburi wala mfupa wa Iddi Amin au Joseph Desire Mobut kule Uganda au DRC.

Tafakari hayo!
Aliitwa Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za banga. Baada ya kuyakataa majina ya wazungu, ila ni kweli alizaliwa akaitwa Joseph Desire Mobutu.n

Katili, dictator, mpenda anasa aliyezikwa na watu 5 tu.
 
Endeleeni , nakukumbusha tu.

Iddi Amin na Joseph Desire Mobutu walikua na nguvu na waliogopwa hata kuliko hata hao watu wanaowatuma.

Ila hadi leo hii hakuna kaburi wala mfupa wa Iddi Amin au Joseph Desire Mobut kule Uganda au DRC.

Tafakari hayo!
Mbona unaweka wingi mzee?

Una ishu inakusumbua kaka

mijadala ujenga acha kukimbilia tuhuma feki mara ole mushi nk

msanueni mwana line nyekundu sio.

Uchumi ukianguka, Utalii kwa ndimi za watu 10 kati ya maisha ya watu 70M sio jambo zuri.


Sio kila Barua utaandika ikawa na faid kwako.

Victor sempere.
 
Hakuna jipya
Hakuna asiyejua hiyo mipango ovu
Hakuna asiyejya unaenuongelea, infact yule dada kule x alishaongelea hili last week na page kibao zili repost... so hakuna jipya hapa labda kwa wasio fuatlia mambo huko insta, X etc...

Im telling YOU Mungu yupo ...msisahau hakuna atakaeishi milele
sawa mkuu.

Hakuna jipya hakika.
 
Back
Top Bottom