Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,238
- 13,530
Je hii jaiwezi kuathiri utalii?Kwani nani anatutangazia kwamba hapa nchi kuna magaidi? Si ninwao wenyewe? Tayari wameshikilia magaidi zaidi ya 20.
Tukiutangazia ulimwengu na dunia kwamba Tanganyika sio salama nani anatakiwa kulaumiwa? Wao au sisi?