Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Ndio maana nakwambia , ulichokiandika hapa kinamhusu Heche hata ukijidai kukataa.

Na sisi tunasema uzi huu utatumika kama rejea kwa chochote kibaya kitakachompata Heche.

Mmemkosa kwenye ufisadi feki, maridhiano feki sasa mnapanga ugaidi feki au kumpoteza kama mlimvyompoteza Polepole .

Aliyeua watu October 29 ndio amechafua taswira ya nchi rudini kwenye drawing board mtajua tatizo sio vyama vya upinzani bali sera mbovu na kuchokwa kwa CCM hadi mkaua watu ili mjipe madaraka.
Wakati watu wanauwawa ulikua wap?


arifu?


Mjifunze mambo kuna line ukivuka awaangalii mrma yako 30.

Baya moja tu linafuta mema 29.

siandiki kwa kufurahisha watu wala mkwara .

Wenye uelewa wa mbali wamesoma mistake inayofanywa watashauri.

Nakumbuka stori moja ya Mpambano wa Vita ya Utalii kati ya Kenya na Tanzania ( Inasadikika Lamu wapo bize kuwatumia makanja kuhakikisha mtalii afiki Serengeti haha ila battle imeridu Kwao wanaliaa...
 
Wakati watu wanauwawa ulikua wap?


arifu?


Mjifunze mambo kuna line ukivuka awaangalii mrma yako 30.

Baya moja tu linafuta mema 29.

siandiki kwa kufurahisha watu wala mkwara .

Wenye uelewa wa mbali wamesoma mistake inayofanywa watashauri.

Nakumbuka stori moja ya Mpambano wa Vita ya Utalii kati ya Kenya na Tanzania ( Inasadikika Lamu wapo bize kuwatumia makanja kuhakikisha mtalii afiki Serengeti haha ila battle imeridu Kwao wanaliaa...
Nenda kwenye tukio lolote la kijamii alafu mtaje huyu mama yako ndiyo utajua hujui kama wanafa
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Kama unamsema Katambi, pole sana.
 
Wakati watu wanauwawa ulikua wap?


arifu?


Mjifunze mambo kuna line ukivuka awaangalii mrma yako 30.

Baya moja tu linafuta mema 29.

siandiki kwa kufurahisha watu wala mkwara .

Wenye uelewa wa mbali wamesoma mistake inayofanywa watashauri.

Nakumbuka stori moja ya Mpambano wa Vita ya Utalii kati ya Kenya na Tanzania ( Inasadikika Lamu wapo bize kuwatumia makanja kuhakikisha mtalii afiki Serengeti haha ila battle imeridu Kwao wanaliaa...
Wewe mangi damu za watu zinakuchanganya, umekua kama Tumainieli sasa acha hizo kazi za hovyo.

Nchi wameichafua watekaji na wauaji ambao wanatumika na CCM iliyochoka na kushindwa hoja kwenye majukwa ya siasa.

Sikumbuki mara ya mwisho lini CCM kukubali kufanya midahalo ya wazi kujadili kwa hoja, yoyote anayewashinda sasa ataonekana adui na kuanza kuwindwa hata kuuwawa.

Huo ni ushamba , leo hii utaniambia yule bwana mdogo Chaula aliyechoma picha ya Samia nae alizuia watalii kwenda Tanzania hadi mkaone mumuue?
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Wee komaa na malori acha kutisha watu
 
Wewe mangi damu za watu zinakuchanganya, umekua kama Tumainieli sasa acha hizo kazi za hovyo.

Nchi wameichafua watekaji na wauaji ambao wanatumika na CCM iliyochoka na kushindwa hoja kwenye majukwa ya siasa.

Sikumbuki mara ya mwisho lini CCM kukubali kufanya midahalo ya wazi kujadili kwa hoja, yoyote anayewashinda sasa ataonekana adui na kuanza kuwindwa hata kuuwawa.

Huo ni ushamba , leo hii utaniambia yule bwana mdogo Chaula aliyechoma picha ya Samia nae alizuia watalii kwenda Tanzania hadi mkaone mumuue?
Naweza kukubaliana na wewe machache ila mengi naaktaa hapo.

Ila ujumbe wa Juu ungeusoma kwa umakini.

Sio kila bato inahitaji nguvu .. akili mwanetu.


Mnapepesuka vibaya sana Tulizeni brain sukeni watu wenye akili apige gemu huko nje kwa evidence.

Naweza kukupa uhakika 80% ya wanaharakati walipo nje ni Nyoka ( Katambi) na details zipo wazi.

Shida yenu amjui adui ni nani na adui ni mjanja anawaswaga kama mbuzi.

jiepushe sana na mtu usiemjua ukamwamin utauzwa kama gunia la sembee.

Slow slow aliamini watu wale watu walichofanya?

Nataman kuwapa elimu ya vyama vya kijamaa na uwezo wake wa kuwadivide na kuwachota ila kwa vile nyie kila jambo mnadhani mnalijua basii.

Gudibai ( Victoria semepre)
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Na hiyo kandarasi ya kushika chepeo umepewa wewe! Kweli lazima utekeleze kama ulivyommaliza mwl. Ole. Utaua wangapi? Kama una busara kidogo uliyobakiwa nayo iongoze ikimbize mikono yako isimwage damu tena!
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Kwani si tumekubaliana wakosoaji wote wa huu utawala wa Kisultani ni magaidi na wahaini! Inakuwaje sasa tunaanza tena kugeukana?
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
ccm wanajua jinsi ya kaucheza na akili zenu... Ni kama tu zile script za Yanga kufanya promo za Simba!
 
Tatizo gari limepata pancha tairi zote 4. Dereva hataki na amegoma kusimamisha gari tuzibe au kubadilisha tairi ili gari liende kwa taratibu za muundo wake.(Ktb)

Ameamua kuliburuza gari atakavyo na limeumiza abiria wengi kwa kujigonga na kugongwa hovyo.
Hivi ni muda muafaka WaTanganyika waamke? Wabadilishe chombo na dereva wake?
 
Kuna nini kimetolea huko Tanganyika?
Heche anawatesa sana wahalifu wa MO29.
Katishia anapeleka taarifa CAF na FIFA taarifa za kuwepo ughaidi nchini kwake. Hivyo wasipeleke AFCON huko kwa Heche.
Taarifa za ughaidi zimeenezwa na kushamiri tabia ya watu kufungiliwa mashitaka ya ughaidi hovyo na hao wanao ona Heche siyo mzalendo.
 
Heche anawatesa sana wahalifu wa MO29.
Katishia anapeleka taarifa CAF na FIFA taarifa za kuwepo ughaidi nchini kwake. Hivyo wasipeleke AFCON huko kwa Heche.
Taarifa za ughaidi zimeenezwa na kushamiri tabia ya watu kufungiliwa mashitaka ya ughaidi hovyo na hao wanao ona Heche siyo mzalendo.
Unadhani atakua kafaulu?

ushaona mtu anafanyia mtihani kwenye mvua?


Subutquuu...
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Shenzy zako
 
Back
Top Bottom